Thamani ya Medali za Olympics

Thamani ya Medali za Olympics

Hivi mnazijuwa gram 500 au mnajiandikia tu? Hapo unaongelea nusu kilo, kuna medali inayofika nusu kilo?

Msisomeshe watu ujinga mlioenda kuusomea shule zenu za kusomea ujinga.
Umesoma vizuri au kiingereza ni shida rudia u some Tena vizuri msiwe mnakurupuka
 
Bc ndo mana simbu akaona asijichoshe 😂 bora arudi awe chawa wa mama
Kuna fedha ndefu sana unalipwa ukishinda dhahabu....mfano riadha ukishinda dhahabu UNAWEZA lipwa kama 32milion pesa ya Kenya...ibadilishe kuwa ya madafu..
Pia inatangaza Taifa

Mengineyo Kuna upotoshaji Ili wananchi waone kwamba olimpic HAINA MAANA kuliko Simba na yanga ambayo inaishia hapo kariakoo
 
Kuna fedha ndefu sana unalipwa ukishinda dhahabu....mfano riadha ukishinda dhahabu UNAWEZA lipwa kama 32milion pesa ya Kenya...ibadilishe kuwa ya madafu..
Pia inatangaza Taifa

Mengineyo Kuna upotoshaji Ili wananchi waone kwamba olimpic HAINA MAANA kuliko Simba na yanga ambayo inaishia hapo kariakoo
Nani anapotosha huyo mkuu.

Mimi nataka kuwa mwanariadha,je nifanyeje ili nitambulike,maana uwezo wa kukimbia ninao mkubwa tu
 
Mbona washindi wa michezo ya Olimpiki maisha yao yanabadilika! Kwamba hawapewi pesa kweli, nchi zao ndo zonawalipa!
 
The Olympics gold medal weighs 529 grams, more than 95.4% of the medal is actually made of silver (505 grams). Six grams consists of pure gold, which serves as the plating for the medal, and 18 grams consists of iron, according to various reports.

(Forbes)
Wee ukiangalia ule mduara ni nusu kilo?? Ile wanavalishwa shingoni?
 
Kuna fedha ndefu sana unalipwa ukishinda dhahabu....mfano riadha ukishinda dhahabu UNAWEZA lipwa kama 32milion pesa ya Kenya...ibadilishe kuwa ya madafu..
Pia inatangaza Taifa

Mengineyo Kuna upotoshaji Ili wananchi waone kwamba olimpic HAINA MAANA kuliko Simba na yanga ambayo inaishia hapo kariakoo
Robo fainali klabu bingwa timu inavuta zaidi ya bilioni 1. TFF wanavuta TZS 103,000,000+

Bado viingilio.
 
The Olympics gold medal weighs 529 grams, more than 95.4% of the medal is actually made of silver (505 grams). Six grams consists of pure gold, which serves as the plating for the medal, and 18 grams consists of iron, according to various reports.

(Forbes)
Unajazwa ujinga na unakujaa, hakuna medali ya nusu kilo.
 
Medali.
960x0%20(1).jpg
960x0.jpg
 
Umesoma vizuri au kiingereza ni shida rudia u some Tena vizuri msiwe mnakurupuka
Mimi ni mwanafunzi bado, nasoma mapaya kila kukicha. RRudia kanisome upya.

Mapr0fesa uchwara tuliwaona kwenye kesi ya Kimataifa ya kudaiwa mabilioni, tuliwaona wakiboronga Kingereza.

Nashangaa ni wajinga kiasi gani, kwanini wasitumie Kiswahili wakawekewa wakalimani?

Ujinga ni mzigo mkubwa kwa Tanzania.
 
We jamaa fanya utafiti kwanza dhahabu gram 529 kwa bei ya sasa gram ni 270000 hivyo ni zaidi ya mil 150
 
Back
Top Bottom