Kila kukicha shillingi ya Tanzania inazidi kuporomoka huku tuna Waziri wa Fedha mahiri, tuna Gavana wa Benki mahiri na wachumi mahiri. Leo fedha ya Tanzania inabadilishwa kwa Tshs. 2,675 kwa dollar moja kutoka Tshs.2,300 miezi michache iliyopita.
Siku za karibuni fedha ya Tanzani ilikuwa inabadilishwa kwa 1 ke(Kenya) = Tshs.16 na leo hii 1 ke(Kenya) = Tshs. 20.26. Ninajiuliza kama nchi tunaelekea wapi?
Ni vema Mhe. Rais akaliona hili na kuwabadili Mhe. Waziri wa Fedha na Gavana wa Benki na kuwapangia majukumu mengine.
====
Pia soma: Kushuka kwa thamani ya shilingi, zigo lililomshinda Mwigulu kulielezea kiuchumi
Siku za karibuni fedha ya Tanzani ilikuwa inabadilishwa kwa 1 ke(Kenya) = Tshs.16 na leo hii 1 ke(Kenya) = Tshs. 20.26. Ninajiuliza kama nchi tunaelekea wapi?
Ni vema Mhe. Rais akaliona hili na kuwabadili Mhe. Waziri wa Fedha na Gavana wa Benki na kuwapangia majukumu mengine.
====
Pia soma: Kushuka kwa thamani ya shilingi, zigo lililomshinda Mwigulu kulielezea kiuchumi