Thamani ya shilingi ya Tanzania inazidi kuporomoka. Tunaelekea wapi?

Thamani ya shilingi ya Tanzania inazidi kuporomoka. Tunaelekea wapi?

Hujui kitu kabisa!

Uturuki, kutokana na sarafu yao kudidimia mfululizo, mambo yamekuwa magumu kiasi cha wasomi wengi kukimbilia Ujerumani na nchi nyingine za Ulaya, tena kwenda kufanya kazi za hadhi ya chini na ambazo zina malipo madogo huko Ulaya, lakini inaonekana ni afadhali ulipwe kidogo katika Euro kuliko Lira nyingi ya Uturuki isiyo na thamani.
Mfumuko wa bei vs thamani ya pesa ni vitu 2 tofauti
 
Back
Top Bottom