Thamani ya wazawa yaonekana kwa klabu ya Simba

Thamani ya wazawa yaonekana kwa klabu ya Simba

Satisfy

Senior Member
Joined
Jun 25, 2022
Posts
147
Reaction score
237
Klabu ya Simba imeendelea kuonesha ukubwa wake.

Ni jinsi gani wachezaji wazawa inaendela kuwaamini katika kikosi chake na kuwathamini.

Thamani yao inakuja kutokana na kupewa kipaumbele cha kwanza ktk utambulisho.

Pia nawapongeza mashabiki na wadau wa mpira kwa mapokezi mazuri kwa wachezi wazawa, kupitia mitandao ya kijamii kwa komenti na like zao.

Kilichobaki sasa ni wajibu wa wachezaji kujitambua na kuonesha vipaji vyao na kuwa prove wrong wanaowabeza.

Tuthamini vya nyumbani kwanza.
 
Nmeamin uto wengi akili hawana
Klabu ya Simba imeendelea kuonesha ukubwa wake.

Ni jinsi gani wachezaji wazawa inaendela kuwaamini ktk kikosi chake na kuwathamini.
Thamani yao inakuja kutokana na kupewa kipaumbele cha kwanza ktk utambulisho.

Pia nawapongeza mashabiki na wadau wa mpira kwa mapokezi mazuri kwa wachezi wazawa, kupitia mitandao ya kijamii kwa komenti na like zao.

Kilichobaki sasa ni wajibu wa wachezaji kujitambua na kuonesha vipaji vyao na kuwa prove wrong wanaowabeza.

Tuthamini vya nyumbani kwanza.
 
Kama Dodoma Jiji vile, inaonyesha thamani ya wazawa sababu Haina hela ya kusajili majembe ya kimataifa

Kwani Kipindi cha Usajili kimeisha? Mbona Uto mnahangaika sana na mambo yasiyowahusu?

Subiri Dirisha la usajili lifungwe Ndo uongee huo utumbo! Wewe una uhakika gani Majembe ya kimataifa hayajasajiliwa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Tulieni Uto msiwe na Pressure
 
Huo uzalendo umeamza msimu huu! Mbona ndani ya miaka minne nyuma haukuwepo?
Kila jambo na wakati wake,kuna wakati wa kulia na wakati wa kulia,wakati wa kulima na wakati wa kuvuna........najua wewe ni msomaji wa Biblia utamalizia.
 
Cheki comment hiyo ya kolo halafu rudi kusoma alicho andika kolo wizard hapo juu
JamiiForums-1606452381.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom