THAMQNI YA DAMU ZA WANASIASA

THAMQNI YA DAMU ZA WANASIASA

Zamazangu

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2015
Posts
849
Reaction score
497
Kumwaga damu imeanza kuwa tabia miongoni mwa viongozi wa Tz. Kuua watu kisiasa sio swala geni katika histiria ya dunia, ila huko nyuma sababu hazkusababishwa na kuhitilafiana kiitikadi, ilikuwa hasa uasi wa serikali, yaani wale walituhumiwa kukusudia kuua viongozi. Hali hiyo ya sasa ya kuwaua wale wanaojtupinga ni utamaduni ,pua ambao madhara yake ni mbaegu ya chuki ambayo haitatuachsalam
 
Back
Top Bottom