Thanatophobia: Hofu ya kifo na sababu zake

Binafsi siogopi kufa lakini huwa napata uchungu sana nikisikia mtu amefariki
Usipate uchungu. Kama una imani basi utakua duniani tupo safarini tu na kuna siku tutarudi nyumbani kwa baba
 
Da tukakutane na hizo bikra 70 afu mwili uko njema kwa mechi 100 afu macho dodo kama yai

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Munga jamani, sema aliuacha mwili mapema sana, nadhani hata wanafunzi wake wengi walikuwa hawajahitimu bado
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…