Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 26,021
- 79,710
- Thread starter
- #61
Yeah life after death.Wanaamini wataishi tena baada ya kifo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yeah life after death.Wanaamini wataishi tena baada ya kifo
Sio kwamba wanaelewa kifo ni nini ila wana tarajio ambalo ni imani ....wana bayana ya yale wanayoyatarajia.. na hiyo bayana yenyewe sio halisi ila fikirio.....hilo ndilo linalondoa hofu ....lakini kilichoko upande hawakijui kabisa.Watu wenye uelewa na mambo ya spiritual huwa hawana kabisa hofu ya kifo kwa sababu wanaelewa exactly kifo ni nini. Namkumbuka mentor wangu mmoja, Munga Tehenan, alikuwa akisema raha ya nafsi inapoingia kwenye blissful state (kuonja mauti) huwa inaizidi raha unayoipata unapofikia mshindo wakati wa tendo, total peace, total freedom and great state of the spirit.