Thank God Slaa is not the president, and that will never be

Thank God Slaa is not the president, and that will never be

This is my level man, where do you want to put me?? leave me alobe buddy, I feel relaxed at this kind of argument. I can see and evaluate how those that we think they are graduate they are actually puppet! they YES for everything!!

kwa level yako ungeweza kuandika hoja kwa mtiririko mzuri na watu wakuelewe, ndiyo maana tunasema ur so cheap!!, miaka 4 unasoma hesabu then unaandika hoja isiyo na masikio kamanda, mbona hivyo?

ndiyo maana watu wanaanza kuhoji IQ yako, unatudhalilisha ma- fundi wenzako wa level hiyo chief, waachie akina MS wana fani zao.
 
Slaa ni rais wa kwenye majukwaa na gazeti la Mwanahalisi nje ya hapo atabaki kuwa Vuvuzela . Kama Chadema wanadhani huyu jamaa ndio atawafikisha nchi ya ahadi wamenoa!
 
Wewe ni Injinia wa nini?? labda wa baskeli za miti, ndio nyie mnaopitisha barabara mbovu, na nnyie ndio daraja la wana siasa kuingia mikataba ya kijinga.......huna sifa kaa kimya lea watoto tu
 
Wewe ni Injinia wa nini?? labda wa baskeli za miti, ndio nyie mnaopitisha barabara mbovu, na nnyie ndio daraja la wana siasa kuingia mikataba ya kijinga.......huna sifa kaa kimya lea watoto tu

wewe ni Elli wa nini?
 
Wewe ni Injinia wa nini?? labda wa baskeli za miti, ndio nyie mnaopitisha barabara mbovu, na nnyie ndio daraja la wana siasa kuingia mikataba ya kijinga.......huna sifa kaa kimya lea watoto tu

hahaha, i guess zile za wale watoto wa mafinga na makambako.
 
Kwa hiyo ukimsifia mtu leo, huwezi ukamkosoa kesho!!! jamani mnatoka sayari gani? wanasiasa wanasifiwa na kukosolewa tu!!! you mean wanaompenda Kikwete wasimkosoea una TOFAUI GANI WEWE NA WAO!!! aibu hii!
Tatizo ni kusifia leo kesho ukosoe bila sababu za msingi, angalia post zako haijapita hata mwezi uliyemsifia kwa kuwa na akili leo amebadilika unaweza kueleza akili zimeenda wapi kwa wiki mbili hizi, ndio maana watu wahoji IQ yako ya uelewa wa mambo ni afadhali mwenyewe umesema wewe si mbwa maana wengine tungeshindwa kuona the difference.

Trh. 11May 2011
Slaa kamuacha mbali sana Kikwete kisiasa, kiakili na katika issues nyingi za uongozi
Leo
Kwa bahati mbaya mimi sina cha kufuata mkondo, sijawa mbwa mimi wala sina anayenipigia mluzi, ni huru kutoa mawazo pasi kujua au kujali mwingine ataumia vipii
......Hivi SLAA ANGEKUWA RAIS ingekuwaje?
 
Kuna quality za rais wa nchi na kuna quality za usanii!

Kuna busara ya kuwa kiongozi wa nchi na kuna busara ya kuwa kiongozi wa vikao vya harusi!

Bahati mbaya kuna namna ya kulazimisha mtu fulani a-fit sehemu fulani, bahati nzuri kuwa kila anapoweza kufit mtu ndipo anapowekwa kidemokrasia kutokana na akili za waliomweka hapo!

Kwa bahati mbaya mimi sina cha kufuata mkondo, sijawa mbwa mimi wala sina anayenipigia mluzi, ni huru kutoa mawazo pasi kujua au kujali mwingine ataumia vipii

Swala la Arusha, swala la lile sakata la umeya na madiwani, si swala la kuchekewa, damu imemwagika kule!

Ni ufisadi sana kufikiri kuwa yale tunayoyawaza sisi tu ndiyo yako sahihi.

Si busara Slaa kuingilia maamuzi ya madiwani ambao kimamlaka ni wawakilishi wa chama kule kwenye maeneo yao. sidhani kama rais anaweza kuingilia maamuzi ya mkuu wa wilaya kama yale maamuzi yalilenga katika kuleta amani na kusaidia wananchi wa eneo husika

Hii si aibu ya chadema tu, ni aibu ya uongozi wa juu, kutowatumaini wala kuwaamini hawa madiwani, ambao kwayo wanaleta na kusambaza sera za chadema; kibaya risk kubwa iko kuwa madiwani wengi zaidi watatumika kuiweka CCM madarakani kwani ni DHALILISHO LA MADIWANI WOTE....they are kids they can not think what a joke!!si busara hata kidogo na ni ufisadi wa kurubuni watu kuwa chadema ilikuwa haijui kinachoendela huko Arusha,

kila kitu kilikuwa wazi vyombo vilitangaza, na LEO ghafla akina slaa wanashtuka kama vile wamefumaniwa na wake za watu kuwa madiwani hawakuwa sahihi!

Miafaka ipo, haikwepeki inaishi, inakua inatafutwa, ili amani iwepo! HIVI ingekuwaje kama chadema wangekuwa chama tawala kwenye issue hii ya Arusha??Slaa umeishaharibu vitu vingi, ila wale vipofu wako wanaojaribu kwa upofu wao hata kukuona uko sawa na Nyerere! (God Forbid!) ili swal la Arusha limekaa kimaslahi zaidi na siyo ki-nchi zaidi! Nilijua ukimya huu umejengeka kibusara kumbe una kula tuition ya kuwa puppet!watu wako mahali fulani ambao wakilala na kuamka wanaota chadema ishike dola, wako watu mahali fulani wanaona credibility ya wabunge wa chadema, wako wanaoona kwa pandembili......Hivi SLAA ANGEKUWA RAIS ingekuwaje?

Slaa angezuia magazeti yasimchore katuni , SLAA ASINGEKUBALI KUTOKA MADARAKANI KWA NGUVU YA DEMOKRASIA.....Thanks God you are not president!

Swala la Arusha kwa namna nyingine limewaharibia tena.....Lema tunamjua, is just another gang in the house, nguvu za maneno na mob saikoloji havitamfikisha popote......certainly we need change but not changes that alerts us differently!!

MBIO ZA CHADEMA HII zinapeleka kuwa si chama cha demokrasia bali cha kibabe, jeuri, chama ambacho kingekuwa na dola wangekuwa madikteta.

Mbowe hana tatizo, yeye ili mradi biashara zake ziende salama in the name of politics!! bila kujua anamwingiza Slaa chooni, slaa bila kujali hatima yake na mtoto wake mchanga analipuka tu!!! TUTAFANYA UCHAGUZI UPYA WA MADIWANI....TUTAUNDA TUME YA MARANDO ......CCM style....shame on you!!!!!


Stop filling JF with craps, I ask you...
 
Eng. Burton A. Bukuku nimegundua ni mtu mmoja makini kweli , unasema kweli panapotakiwa ni members wachache humu JF wenye uajasiri huo, nikweli Mzee slaa hafai kuwa rais..
 
Umejaribu kidogo lakini hukufika mbali , ama kweli kipofu haachi mkongojo wake. Umesahau kuwa Rais kiwango chake ni wakuu wa wilaya na Slaa kiwango chake ni hao madiwani wa Chama chake. Sasa kufananishwa hapo kuna makosa gani?

Rais anawachaguia Wakuu wa wilaya na ndio wanakuwa wawakilishi wake wilayani lakini Slaa hawezi kufika daraja ya kuwa na mwakilishi wa wilaya bali anao uwezo na madiwani wa chama chake.

Kwa hoja ya Eng. ni kuwa Rais anawaamini wakuu wa wilaya aliowachagua na haingilii kati maamuzi ya kuwafaa wananchi na hivyo hivyo si busara kwa Slaa kupinga maamuzi ya watu waliochaguliwa na wananchi.

Hiyo ndiyo hoja yake, sasa unaporuka na matusi hujaondowa hiyo kasoro.

Ni vigumu wengi kumwelewa Dr. Slaa. Mi ni Engineer (sina PhD, vipi Eng. B unayo?) lkn napenda ku-argue vitu ambavyo nina uhakika navyo. Slaa alisema (kwenye vyombo vya habari) kuwa kulikuwa na mazungumzo (kati ya W. Mkuu na uongozi wa CDM) ya muafaka lkn hawa madiwani wakaya-bypass hayo mazungumzo na kugawana vyeo. Huo sidhani km ni muafaka maana kuna ndugu walikufa, je familia zao zimeangaliwa na hawa madiwani? Au ilikuwa kimbelembele chao waliandamana bure?

Kwamba amekuwa judgemental, Rais alimfanyeje Mkuu wa Wilaya aliyewacharaza viboko Walimu? Slaa anaweza kuingilia maamuzi ya madiwani wa chama chake au whatever lkn anasema hata uongozi wa CDM Wilaya na Mkoa haukuhusishwa, sijui kama ni sahihi. Je, kesi iliyoko mahakamani iliyomweka ndani M/kiti wao juzijuzi imegusiwa kwenye huo mwafaka au ni maslahi ya madiwani 3. Tume ya Marando imeundwa kufuatilia kama kulikuwa na mianya ya rushwa ili hatua zichukuliwe kwa haki, we unaona gharama. Eng. Burton, kuna Conferences za ma-engineer (IET - Dec, 2011 na MIE - Feb, 2012) je, una paper yoyote ya ku-address tatizo la umeme nchini au ume-concentrate na mtoto mchanga unayemfahamu? I'm sorry anyway..!
 
Eng. Burton, kuna Conferences za ma-engineer (IET - Dec, 2011 na MIE - Feb, 2012) je, una paper yoyote ya ku-address tatizo la umeme nchini au ume-concentrate na mtoto mchanga unayemfahamu? I'm sorry anyway..!
Eng. Burton apate wapi muda wa kuandaa paper wakati anafuatilia maisha ya mtoto wa Slaa atapelekwa lini clinic.
 
Mimi pia ni Injinia lakini loo, once is an incidence and twice coincidence, hivo naogopa litakalofuatia. Alianza Eng. Stella Manyanya bungeni na hata wiki haijapita kachombeza Eng. Burton Bukuku hapa JF !

Kama Injinia, ingetosha kabisa kusema Thank God Dr. Slaa is not the President na wengine tungeweza kukuelewa lakini ukiongezea and he will never be, hapo umevua hata hicho kipande cha kaniki kilichokusetiri, umebaki mtupu yaani uchi kabisaaa!

Kwa hali hiyo mimi najiondoa kwenye huu mjadala, sitakubali kushuka that low.

mtu yeyote anayekaa kwenye drawing table anatumia akili nyingi sana coz anatafuta reality kutoka kwenye ubongo na kui'present kwente sheet, sasa hawa ni wale ma'engineer waliopoteza muelekeo, badala yakuona kwa 2D na 3D wao wanavamia software (master series, autoCad, archiCAD, nk) kurahisisha mambo kumbe ndivyo wanavyodumaza bongo zao, mifano ndo hawa wanaojiita eng. bukuku na eng. stella manyanya.
 
Nilitukanwa sana hii thread, ila sikukurupuka soon mtajua wanasiasa na siasa ni nini!!! mmewasikilia madiwani wamesema nini?
 
Pole sana ndugu yangu, heri mimi sijasema; katika maamuzi yenye busara wapi ni afadhali CDM au CCM, hivi nyie kama mnabusara nafasi ya katibu mwenezi mnaweza kumpa mtu kama Nape anaye ongea chochote!

Poleni CCM, hongera Dr Slaa, tupo pamoja tunakuombea, kuna siku watu watajifunza tokea CDM kuwa ni mpango wa Mungu CDM ije kuongoza nchi. Naamini siku CDM itashika nchi tutaacha Mamlaka kwa muumba wa mbingu na nchi na siyo kwa waganga na wachawi.


Naamini hii miaka 5 ni ya watanzania kujifunza, ngoja tusubili tuone.
NOTE: na wasi wasi na uhadhili wako, nahisi ni wa madesa
 
Kweli kabisa Muhadhir, saa hizi mafisadi na viongozi wote wa magamba wangekuwa wanajisaidia kwenye mtondoo!

Mgao wa giza usingekuwepo, na Wananchi wangepata unafuu wa maisha.
 
mfano tu. mgogoro wa Arusha. haambiliki. hasemezeki na hana sumile. sio kwa rushwa na ufisadi. hata amani ya watu wake. namshukuru Mungu kutuletea Jk na sio Dk slaa maana yake wa Tanga angaliishi Tanga. Tabora ni Tabora na arusha ni Arusha tu Japo watu wanaamini wameonewa. lkn kwa halii mungu ameipusha mengi TZ
wai kuchangia mada nyingine ni kujichosha akili bila faida
 
Back
Top Bottom