choza choza
JF-Expert Member
- Jan 17, 2019
- 2,081
- 3,831
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]1. Banda HAKUWA na KIPAJI KIKUBWA.
Hii ni propaganda TU ya uongo imetengenezwa na Simba kuwa Banda aonekane mchezaji mzuri.
Haiwezekani mchezaji kwa Umli ule atoke ulaya Moldova ARUDI Tanzania Simba.
2. Wachezaji wazuri WA Duniani akina Messi Ronaldo, mbappe nk Huwa hawaumii.
Mchezaji akiumia isizidi wiki.
HAKUWA na nafasi kabisa Simba
UWEZO WAKE ULIKUWA NI MDOGO SANA.
3. Alikuwa BINGWA wa kuvaa hereni, KUhangaika na NYWELE na ubishoo Mwingi.
PALE HAKUNA MCHEZAJI.
Haya ulikuwa wapi kuyasema sikuzote mkuu?1. Banda HAKUWA na KIPAJI KIKUBWA.
Hii ni propaganda TU ya uongo imetengenezwa na Simba kuwa Banda aonekane mchezaji mzuri.
Haiwezekani mchezaji kwa Umli ule atoke ulaya Moldova ARUDI Tanzania Simba.
2. Wachezaji wazuri WA Duniani akina Messi Ronaldo, mbappe nk Huwa hawaumii.
Mchezaji akiumia isizidi wiki.
HAKUWA na nafasi kabisa Simba
UWEZO WAKE ULIKUWA NI MDOGO SANA.
3. Alikuwa BINGWA wa kuvaa hereni, KUhangaika na NYWELE na ubishoo Mwingi.
PALE HAKUNA MCHEZAJI.
Ukweli mchungu. Hakuwa mchezaji hatari.1. Banda HAKUWA na KIPAJI KIKUBWA.
Hii ni propaganda TU ya uongo imetengenezwa na Simba kuwa Banda aonekane mchezaji mzuri.
Haiwezekani mchezaji kwa Umli ule atoke ulaya Moldova ARUDI Tanzania Simba.
2. Wachezaji wazuri WA Duniani akina Messi Ronaldo, mbappe nk Huwa hawaumii.
Mchezaji akiumia isizidi wiki.
HAKUWA na nafasi kabisa Simba
UWEZO WAKE ULIKUWA NI MDOGO SANA.
3. Alikuwa BINGWA wa kuvaa hereni, KUhangaika na NYWELE na ubishoo Mwingi.
PALE HAKUNA MCHEZAJI.
Golikipa yuleNafasi yake anachukua nani?
Kama umeamua kumlinganisha na kina Messi basi umedhihirisha kabisa kwa Afrika kumbe Banda ni mchezaji tishio!1. Banda HAKUWA na KIPAJI KIKUBWA.
Hii ni propaganda TU ya uongo imetengenezwa na Simba kuwa Banda aonekane mchezaji mzuri.
Haiwezekani mchezaji kwa Umli ule atoke ulaya Moldova ARUDI Tanzania Simba.
2. Wachezaji wazuri WA Duniani akina Messi Ronaldo, mbappe nk Huwa hawaumii.
Mchezaji akiumia isizidi wiki.
HAKUWA na nafasi kabisa Simba
UWEZO WAKE ULIKUWA NI MDOGO SANA.
3. Alikuwa BINGWA wa kuvaa hereni, KUhangaika na NYWELE na ubishoo Mwingi.
PALE HAKUNA MCHEZAJI.
Golikipa toka MoroccoNafasi yake anachukua nani?
Sidhani kama zinafikaKama alifunga hata goli 7 kwa muda wote aliokuwepo naomba mnikumbushe
Banda ambaye ameota hadi kitambiEti kuna watu wanalalamika Peter kuachwa. Watu ni wanafiki aisee
Una shida wew[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Alifunga goli zuri dhidi ya ASEC ya Kramo, Yao na Aziz Ki katika ushindi wa 3-1Kama alifunga hata goli 7 kwa muda wote aliokuwepo naomba mnikumbushe