hjakalljcjxnxlhzkzmxjkxnx
Senior Member
- Jan 17, 2020
- 121
- 265
Upo sahihi mkuu hakuna mchezaji pale ukisema ukweli watu wanakuwa wakali[emoji16][emoji16][emoji16]wanda kidi1. Banda HAKUWA na KIPAJI KIKUBWA.
Hii ni propaganda TU ya uongo imetengenezwa na Simba kuwa Banda aonekane mchezaji mzuri.
Haiwezekani mchezaji kwa Umli ule atoke ulaya Moldova ARUDI Tanzania Simba.
2. Wachezaji wazuri WA Duniani akina Messi Ronaldo, mbappe nk Huwa hawaumii.
Mchezaji akiumia isizidi wiki.
HAKUWA na nafasi kabisa Simba
UWEZO WAKE ULIKUWA NI MDOGO SANA.
3. Alikuwa BINGWA wa kuvaa hereni, KUhangaika na NYWELE na ubishoo Mwingi.
PALE HAKUNA MCHEZAJI.