Thank You Cocacola I am Humbled !

Kubwa jinga. Kwenye kopo hadi Asha na Mwajuma wa Tandare kwa tumbo wameandikwa
 



Hahahahahahaha nimecheka sana jamani....jf haichoshi jamani!!!
 
Huyu mzee wa watu LeBaharia, akiingia Toilet badala aache kinyesi, ye anaacha Akili anasepa na kinyesi kichwani.....
 
Kwa nini kusiwe na benefit kwa jamii au individual celebrity makopo yawe mengi na yauzwe huku hiyo fund ikifanya mambo ya maana kama special fund kwa unfortunate ones na kadhalika. Coca cola do u know how much will u earn after this?
 
Muulizeni kubwa jinga anasema watamsoma mpk wanaingia kaburini, yeye ana guarantee ya kuishi miaka mingapi?

Mungu saidia nisizae toto lenye akili kama hizi
 
Yeyote anaejibizana na huyu Punguan "Le mutuz" ana matatizo ya kumtosha kabisa!!!!! Huyu "Le mutuz" ni wa kupuuza sana!!! Sasa anavyojisifu, yeye nini fani yake kwenye haya maisha!!!? Yaani mtu unafurahi jina lako kuwekwa kwenye kopo?! Sijawai kuona! Hivi anatania au ana maanisha wakuu?
 
1.Jina lako limewekwa kwenye kipo umefaidika nini hasa?
2.What makes u a celeb lyk really 😄
.....tatizo lako hupendwi kurekebishwa na utabaki mburura daima 😂😂😂😂
 
Braza Umetisha hahaha. Kumbe na ww ni selebu ??
 
jamaa unafurahisha sana, yaani umekuwa humbled kwa coca kuchapa neno lako kwenye kibati tu cha kikopo...? hongera sana....!
 


We utakua lini? 56 years unashinda kupiga picha na watoto wa kike ambao una umri kama baba zao, eti super mtindizz?? Me kitu sijawahi elewa wewe ni staa wa nini? Staa angekuwa baba yako sio wewe. Sasa hilo kopo limeandikwa jina lako so what?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…