Thank you inayoendelea Simba, Yanga na Azam sio ya kiufundi

Leonel Ateba Mbinda

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2023
Posts
644
Reaction score
2,695
It is undisputed facts kwamba Kipa namba 1 wa Timu ya Taifa kwa sasa ni Benno Kakolanya, no doubt.

Lakini katika namna ambayo wengi tulishagundua kitambo tangu alipoanza kukalia benchi vs na Yanga, kipa Beno Kakolanya amepewa mkono wa kwa heri, Bernard Morrison amepewa mkono wa kwa heri.Azam nao wamewapa Thank you akina Kenneth Muguna, Bruce Kangwa na wengineo akiwemo kocha bishoo Kalimangonga Ongalla.

Nikianza na Simba, Tanzania hii ukimuondoa Aishi Manula, hakuna kipa anayefikia uwezo wa Benno, huyo Ally Salim aliyebakia tusubiri kugawana mbao maana huko mbeleni michuano ni mingi sana na sio ya kitoto.Aishi Manula hata akipona hawez tena kuwa kwenye ubora wake, kiufup shughuli yake imeisha.

Sasa sielewi na siwez kuamini kama kweli Robertinho anaweza kupendekeza Benno aachwe.Sio kweli.

Haya viongozi wa Simba mmeshika mpini wenzetu.
 
Simba Ina viongozi wapumbavu wasiojua mpira, ukiwa na kipa kama Benno huitaji kwenda nje kutafuta kipa, wanafanya usajili wa mihemko.

Usajili wa Banda, Sackho, Kanoute na Inonga ulikuwa maalumu kwa kutengeneza timu itakayokaa muda mrefu na baadae kuchukua ubingwa wa Africa lakini kinachoendelea ni kama hawajui Nini wanafanya.
 
Kwa hiyo wewe mwelevu unajua Mpira,
 
Kwamba wewe unajua kuliko waliomtimua?
 

Haya maneno niliyasema miezi miwili iliyopita. Naona wanapita mulemule.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…