Leonel Ateba Mbinda
JF-Expert Member
- Feb 20, 2023
- 644
- 2,695
It is undisputed facts kwamba Kipa namba 1 wa Timu ya Taifa kwa sasa ni Benno Kakolanya, no doubt.
Lakini katika namna ambayo wengi tulishagundua kitambo tangu alipoanza kukalia benchi vs na Yanga, kipa Beno Kakolanya amepewa mkono wa kwa heri, Bernard Morrison amepewa mkono wa kwa heri.Azam nao wamewapa Thank you akina Kenneth Muguna, Bruce Kangwa na wengineo akiwemo kocha bishoo Kalimangonga Ongalla.
Nikianza na Simba, Tanzania hii ukimuondoa Aishi Manula, hakuna kipa anayefikia uwezo wa Benno, huyo Ally Salim aliyebakia tusubiri kugawana mbao maana huko mbeleni michuano ni mingi sana na sio ya kitoto.Aishi Manula hata akipona hawez tena kuwa kwenye ubora wake, kiufup shughuli yake imeisha.
Sasa sielewi na siwez kuamini kama kweli Robertinho anaweza kupendekeza Benno aachwe.Sio kweli.
Haya viongozi wa Simba mmeshika mpini wenzetu.
Lakini katika namna ambayo wengi tulishagundua kitambo tangu alipoanza kukalia benchi vs na Yanga, kipa Beno Kakolanya amepewa mkono wa kwa heri, Bernard Morrison amepewa mkono wa kwa heri.Azam nao wamewapa Thank you akina Kenneth Muguna, Bruce Kangwa na wengineo akiwemo kocha bishoo Kalimangonga Ongalla.
Nikianza na Simba, Tanzania hii ukimuondoa Aishi Manula, hakuna kipa anayefikia uwezo wa Benno, huyo Ally Salim aliyebakia tusubiri kugawana mbao maana huko mbeleni michuano ni mingi sana na sio ya kitoto.Aishi Manula hata akipona hawez tena kuwa kwenye ubora wake, kiufup shughuli yake imeisha.
Sasa sielewi na siwez kuamini kama kweli Robertinho anaweza kupendekeza Benno aachwe.Sio kweli.
Haya viongozi wa Simba mmeshika mpini wenzetu.