Soloma TV Online
Senior Member
- Jun 26, 2023
- 104
- 291
Anaonekana kua muoga wa kufungwa anaona kama akifanya sub atakua anavuruga match na mchezo ni kitambulisha wachezaj wanashindwa hata na singida wakichange kikos choteHuyu Kocha wa Simba kwa kitendo cha kuchelewa kufanya maamuzi katika SUB haina afya kwake na hii inakwenda kumpa kadi nyekundu ya "THANK YOU"
Lakini pia kitendo cha kufanya majaribio ya nafasi za wachezaji kwa timu kama Simba ambayo ina njaa ya mafanikio kimataifa na Makombe ya ligi za ndani iliyoyapotezea kwa Mtani haina afya na hiyo inakwenda kumpa kadi nyekundu ya "THANK YOU"
Mfano mzuri ni ule wa BALEKE kwenye mchezo wa jana wa kirafiki dhidi ya POWER DYNAMO katika Tamasha kubwa la SIMBA DAY
.
.
.
.
.
.
#solomatv_updates View attachment 2711257
Huyu Kocha wa Simba kwa kitendo cha kuchelewa kufanya maamuzi katika SUB haina afya kwake na hii inakwenda kumpa kadi nyekundu ya "THANK YOU"
Lakini pia kitendo cha kufanya majaribio ya nafasi za wachezaji kwa timu kama Simba ambayo ina njaa ya mafanikio kimataifa na Makombe ya ligi za ndani iliyoyapotezea kwa Mtani haina afya na hiyo inakwenda kumpa kadi nyekundu ya "THANK YOU"
Mfano mzuri ni ule wa BALEKE kwenye mchezo wa jana wa kirafiki dhidi ya POWER DYNAMO katika Tamasha kubwa la SIMBA DAY
.
.
.
.
.
.
#solomatv_updates View attachment 2711257
Hiyo aibu unalazimishwa kuiona, watu kama nyie hamfai kuwa watanzania , haya nambie wapi huko ambako watu wake wote wako smart unakoona fahari tukuombee uraia ukwende zako.Sub ni response ya kinachotokea Uwanjani.
Either tactical au Health.
Unaposema alichelewa kufanya Sub unamaanisha nini?
Upi ulikuwa mda sahihi? Kuna tukio gani lilihitaji response ya haraka mpaka useme kocha amechelewa?
Ujinga wenu wabongo unasikitisha, mna ujuaji wa kishamba sana.
Mpaka kuna mda naona aibu kuwa Mtanzania.
Kama mtaendelea na Ujuaji wa Kishamba huu, hakika sifai kuwa Mtanzania.Hiyo aibu unalazimishwa kuiona, watu kama nyie hamfai kuwa watanzania , haya nambie wapi huko ambako watu wake wote wako smart unakoona fahari tukuombee uraia ukwende zako.