Soloma TV Online
Senior Member
- Jun 26, 2023
- 104
- 291
Huyu Kocha wa Simba kwa kitendo cha kuchelewa kufanya maamuzi katika SUB haina afya kwake na hii inakwenda kumpa kadi nyekundu ya "THANK YOU"
Lakini pia kitendo cha kufanya majaribio ya nafasi za wachezaji kwa timu kama Simba ambayo ina njaa ya mafanikio kimataifa na Makombe ya ligi za ndani iliyoyapotezea kwa Mtani haina afya na hiyo inakwenda kumpa kadi nyekundu ya "THANK YOU"
Mfano mzuri ni ule wa BALEKE kwenye mchezo wa jana wa kirafiki dhidi ya POWER DYNAMO katika Tamasha kubwa la SIMBA DAY
#solomatv_updates
Lakini pia kitendo cha kufanya majaribio ya nafasi za wachezaji kwa timu kama Simba ambayo ina njaa ya mafanikio kimataifa na Makombe ya ligi za ndani iliyoyapotezea kwa Mtani haina afya na hiyo inakwenda kumpa kadi nyekundu ya "THANK YOU"
Mfano mzuri ni ule wa BALEKE kwenye mchezo wa jana wa kirafiki dhidi ya POWER DYNAMO katika Tamasha kubwa la SIMBA DAY
#solomatv_updates