Thank You People, Kwanza ilikuwa Cocacola, Now Vibe MagazineTz

Status
Not open for further replies.
- Hahahaa mimi ni Celebrity tena big sasa labda nikupe namba ya msaidizi wangu umuulize au? hahahahahahah U know

Le Mutuz

Acha mbwembwe kwa watu famous ndo wanajibu hivyo wanapoulizwa……? :thumbdown: kwa jibu lako
 
Ruttashobolwa ukuje hapa umuone super le mbebs the king of all bongo social networks gadem mazafantaz
 
Last edited by a moderator:
Unawezaje kujipromo ww mwenyewe kuwa unainfluence kwa jamiii. Hivi unajua hata maana ya neno jamiii
 
Plus wenzio tunadil na western medias and not east africans media
 
Plus wenzio tunadil na western medias and not east africans media

- ila hujaulizwa na kama ungekuwa ni kweli ungefanya kama mimi ungetumia jina lako na picha yako, sasa una cover western media halafu unaogopa kujitokeza vipi mkuu mbona unajiabisha bure bila malipo wenzako tunalipwa for that hahahahaha

Le Mutuz
 
So unafikili wenzio tunaongea kingereza cha kwenye madaftari?
 

Le mutuz kwa majibu ya nyani kumkoma... ni kiboko dah! Digree 3
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…