Thank You People, Kwanza ilikuwa Cocacola, Now Vibe MagazineTz

Thank You People, Kwanza ilikuwa Cocacola, Now Vibe MagazineTz

Status
Not open for further replies.
Ruttashobolwa ukuje hapa umuone super le mbebs the king of all bongo social networks gadem mazafantaz
 
Last edited by a moderator:
Unawezaje kujipromo ww mwenyewe kuwa unainfluence kwa jamiii. Hivi unajua hata maana ya neno jamiii
 
Plus wenzio tunadil na western medias and not east africans media
 
Plus wenzio tunadil na western medias and not east africans media

- ila hujaulizwa na kama ungekuwa ni kweli ungefanya kama mimi ungetumia jina lako na picha yako, sasa una cover western media halafu unaogopa kujitokeza vipi mkuu mbona unajiabisha bure bila malipo wenzako tunalipwa for that hahahahaha

Le Mutuz
 
So unafikili wenzio tunaongea kingereza cha kwenye madaftari?
 
- Well, unasema niache kutembea bila kuvaa mashati au what sijakuelewa vizuri, halafu ungeweka nyumba ya mama yako kwanza ndio ungekuwa na nguvu ya kuongelea nyumba za mama wa wengine, Super Star Lulu Michael is my super friend hivi hapa tumeanza kuchaguliana marafiki siku hizi? Infact natayarisha another party yaani "The All White Party Phase Two" at Escape One mwisho wa mwezi ujao, sijawahi kuwa Mpambe nina marafiki tunaofanana, Jumuiya ya Wazazi kumbe ni yako wewe una cheo gani huko? hahahahahaha

- I hope nimekusaidia mkuu hahahaha

Le Mutuz

Le mutuz kwa majibu ya nyani kumkoma... ni kiboko dah! Digree 3
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom