mwagavumbi 11
JF-Expert Member
- Nov 2, 2010
- 1,254
- 44
kweli akili ni mali, hata wewe unapost ulimbukeni wako hapa? kweli ushamba shapu kazi sana. umezoewa kupakatwa na Babu Slaa unazani wote? wengine tupo kwa kutetea Taifa na si Watu binafsi.chezea JK wewe vijana mnalipwa kumsafisha mitandaoni enh..... na watz ni hasara yaan full kuyumbishwa kisa vijisent wakat ukweli mnao. hahaha heri yetu sie waangaliaji wa huu mchezo mchafu ngoja nasi tufanye yetu kwenye vitengo vyetu. nyie mnaotokwa mapovu umu for nothing hata posho hupatiii ur a total looser lkn kama bahasha ya kaki imepita kila la kheri zenuu.
Mwenyezi Mungu huwa ana makusudi kwa kila jambo linalokuja kwa wanadamu, zuri au baya! Imani yangu inanituma kuwa alimleta Kikwete ili Tanzania ipate ukombozi kamili toka kwa CCM (wakoloni weusi). Hizi ndo sababu zangu: -
1. Baadaya Kikwete kushindwa kura za maoni 1995 alianzisha mtandao wa kusaka urais tangia hapo. Mtandao ambao ndio chanzo cha makundi ya CCM na ambayo hayawezi kuisha ndani ya chama hicho. (Kikwete muasisi wa makundi)
2. Kikwete na mtandao wake walinunua wahariri wa vyombo vya habari ili kumpamba Kikwete na kuwachafua washindani wake. (Rejea kauli za Sumaye) Walipoingia madarakani na seriksli yao ikawa legelege wakawageuka waandishi wanaowakosoa na kufungia vyombo vyao. (Mwanahalisi, Kulikoni, Mwananchi, Mtanzania nk) Ccm ikatengeneza uadui na waandishi.
3. Kikwete katika uchaguzi uliopita baada ya kukabwa vilivyo na Dr Slaa, washauri wake na chama chake wakamshauri kuelekeza siasa misikitini kujaribu kuokoa jahazi. Yanayotokea baada ya hapo kila mmoja anaona. (Kikwete muasisi wa udini) Wenye macho wanaweza kuona CCM itakavyoangushwa na udini.
4. Kauli yake ya maisha bora iliwapa matumaini watanzania kuwa inawezekana wamepata mkombozi mpya. Matumaini yoa yanayeyuka kama barafu na sasa tafiti zinaonyesha watanzania hawana imani na serikali, Kikwete na CCM.
5. Amevuruga uhusiano wa kidiplomasia na nchi zinazotuzunguka (Rejea kutengwa kwa Tanzania EAC na mgogoro wa Malawi)
Yote haya yakiweza kufanyiwa kazi na upinzani sioni CCM ikiokoka. Ni mpango wa Mungu Kikwete kusababisha ukombozi?
Kuwaletea MAENDELEO watanzania
Wewe ni kijana wa bongo fleva au? Maendeleo? Mkuu husomi taarifa ama habari? Kwani hukusikia taarifa ya UN ya hivi karibuni kuwa watanzania wengi wamekata tamaa na hawana furaha? Sasa maendeleo gani aliyoleta huyu msanii ambayo wewe unayaona? Pita pita mtaani utasikia watu wanaongea nini juu ya Kikwete kwani siyo siri tena, huyu jamaa ni bomu na hafai hata kidogo.
Mungu alitaka watanzania wapitie mateso kama Ayubu, na wana wa Israel kabla ya kupata ukombozi wa kweli 2015.
Watanzania Tuzidi Kuwa wavumilivu kwani Nchi ya Ahadi sasa tunaikalibia T 2015 CDM.
Mwenyezi Mungu huwa ana makusudi kwa kila jambo linalokuja kwa wanadamu, zuri au baya! Imani yangu inanituma kuwa alimleta Kikwete ili Tanzania ipate ukombozi kamili toka kwa CCM (wakoloni weusi). Hizi ndo sababu zangu: -
1. Baadaya Kikwete kushindwa kura za maoni 1995 alianzisha mtandao wa kusaka urais tangia hapo. Mtandao ambao ndio chanzo cha makundi ya CCM na ambayo hayawezi kuisha ndani ya chama hicho. (Kikwete muasisi wa makundi)
2. Kikwete na mtandao wake walinunua wahariri wa vyombo vya habari ili kumpamba Kikwete na kuwachafua washindani wake. (Rejea kauli za Sumaye) Walipoingia madarakani na seriksli yao ikawa legelege wakawageuka waandishi wanaowakosoa na kufungia vyombo vyao. (Mwanahalisi, Kulikoni, Mwananchi, Mtanzania nk) Ccm ikatengeneza uadui na waandishi.
3. Kikwete katika uchaguzi uliopita baada ya kukabwa vilivyo na Dr Slaa, washauri wake na chama chake wakamshauri kuelekeza siasa misikitini kujaribu kuokoa jahazi. Yanayotokea baada ya hapo kila mmoja anaona. (Kikwete muasisi wa udini) Wenye macho wanaweza kuona CCM itakavyoangushwa na udini.
4. Kauli yake ya maisha bora iliwapa matumaini watanzania kuwa inawezekana wamepata mkombozi mpya. Matumaini yoa yanayeyuka kama barafu na sasa tafiti zinaonyesha watanzania hawana imani na serikali, Kikwete na CCM.
5. Amevuruga uhusiano wa kidiplomasia na nchi zinazotuzunguka (Rejea kutengwa kwa Tanzania EAC na mgogoro wa Malawi)
Yote haya yakiweza kufanyiwa kazi na upinzani sioni CCM ikiokoka. Ni mpango wa Mungu Kikwete kusababisha ukombozi?
Mkuu, yaani umeonesha udhaifu mkubwa saba katika kufikiri. Kwani JK alishindwa kwenye kura za maoni mwaka 2005? kama ndo hivyo, je alishindaje nafasi hiyo ndani ya chama?
kwa hiyo mnataka kuunga mkono wale waliosema eti kikwete ni chaguo la mungu???? Sidhani na sitaki kumhusisha mungu na hilo!!
Naam, ni miaka 6 unusu tangu niandike hii mada, na mpaka leo bado niko sahihi!
Katika hiki Kitab Alf Layla wa Layla, napenda kutoa shukrani kwa Mwenyezi Mungu, Subhana Wataala kwa kutupa Jakaya Mirisho Kikwete kuwa Raisi wetu.
Through Jesus Christ our Lord, Amen, Amen, Amen
Through Muhamed our Lord, Amen, Amen Amen
By the Grace of Allmighty Lord, Amen, Amen, Amen
Mungu Ibariki Afrika, Mungu Ibariki Tanzania, Tubariki watoto wa Tanzania.
Through Jesus Christ our Lord, Amen, Amen, Amen
Through Muhamed our Lord, Amen, Amen Amen
By the Grace of Allmighty Lord, Amen, Amen, Amen
Mungu Ibariki Afrika, Mungu Ibariki Tanzania, Tubariki watoto wa Tanzania.
Katika hiki Kitab Alf Layla wa Layla, napenda kutoa shukrani kwa Mwenyezi Mungu, Subhana Wataala kwa kutupa Jakaya Mirisho Kikwete kuwa Raisi wetu.
We need to thank God for so much blessings to have Kikwete as man in charge.
Yes I have been critical of his leadership, I have mocked him, I have challenged him for his in-activeness and forgot that it was blessings in disguise from our Lord God!
Mungu ni wa ajabu sana, na nafikiri ni mapenzi yake tumepewa Kikwete awe kiongozi wetu. Ni mapenzi ya Mungu leo hii tupo hapa tukipiga kelele na baragumu tukitumia vinubi, zumari na tarumbeta kufukuta hasira zetu, vilio vyetu, aibu yetu na umoja wetu.
Si kwa mapenzi yake Jakaya Kikwete, bali ni mapenzi ya Mungu, kuwa yanayotokea sasa hivi, yalipangwa mapema na Mola.
Nasi tumkubali Jakaya Mrisho Kikwete kwa mapungufu yake yote, ukimya, uzembe, uvivu, uzubaaji, kutokuchangamka, kutokuwajibika na dhana kuwa analinda wale wahujumu. Mapungufu yake, ndiyo ngao na silaha yetu tuliyopewa na Mungu dhidi ya wale wenye kutaka kutufanyia dhuluma na kutuumiza.
Kuporomoka kwa Mawaziri wakubwa na mashuhuri wanne si mapenzi yake Kikwete, maana alitoa machozi. Lakini ni mapenzi ya Mungu leo hii nchi nzima si vilio kuhusu ufisadi tuu, bali mazungumzo ya kutaka uwajibikaji, mazungumzo ya kuimarisha ufanisi, na kulitakia Taifa letu maisha mema na Baraka za Mungu ndiyo yaliyotawala.
Tunataka mshikamano, tunataka uongozi madhubuti, tunataka tufaidi matunda ya utajiri wetu wa asili, uhuru wetu na matunda ya jasho letu bila kunyonywa, kudhulumiwa, kuonewa au kudhihakiwa.
Haya yote yasingetokea kama Kikwete wetu, mtalii, Vasco Da Gama, Sinbad, Chekacheka, Kisura asingekuwa madarakani.
Najiuliza je tungekuwa na mwamko mkubwa namna hii wa kutetea haki zetu kama tungekuwa chini ya Nyerere? Labda ungekuwako, lakini tungekuwa na woga.
Najiuliza je tungekuwa na ukali namna hii wakati wa Mwinyi, yawezekana, lakini bado tungekuwa na woga.
Najiuliza tena tungekuwa na uwezo wa kuchambua mambo muhimu kwa Taifa letu, kuishupalia Serikali, kutafuta ushahidi na hata kuimbua Serikali yetu wakati wa Mkapa? tungeweza, lakini angetupuuza na angetumia ujeuri na dharau zake kutokutusikiliza.
Sidhani kama Kikwete ni msikilizaji mzuri, ila ni baraka za Mungu kuwa kujivuta vuta kwake ambao wengine wamekuita Uyakhe yakhe, Ukwerekwere na Usaigon, ndio umetusaidia sana.
Yeye mwenyewe sijui kama analijua hili, lakini tafadhali sana wewe uliye mwakilishi wa Mheshimiwa Kikwete unayepita kuchungulia JF wamesema nini, mnapoamka Ijumaa hii na kujiandaa na Gwaride la Muungano, mwambie Mheshimiwa Raisi, tunamshukuru Mungu kwa kuwa yeye ni Raisi wetu.
Mapambano yetu bado hayajaisha. Tuendelee kutumia kudra, rehema na baraka hizi za Mwenyezi Mungu, kuendeleza Libeneke la kutaka uwajibikaji, ufanisi, umahiri kupiga vita Uhujumu, Uzembe, Dhuluma, Umasikini, Ujinga na Maradhi.
Kila jamii ina njia yake ambayo Mungu kawatengenezea. Njia yetu ya Ukombozi ni wakati huu wa ndugu yetu Muungwana akiwa Raisi!
Tutumie fursa hii kupigana na wale mahasidi wasiotutakia mema, tuendeleze shinikizo letu kwa viongozi wetu wawe watii wa sheria, walinzi wa katiba, wafuata haki na wanaothamini utu.
Through Jesus Christ our Lord, Amen, Amen, Amen
Through Muhamed our Lord, Amen, Amen Amen
By the Grace of Allmighty Lord, Amen, Amen, Amen
Mungu Ibariki Afrika, Mungu Ibariki Tanzania, Tubariki watoto wa Tanzania.