Thanks God for Giving us Kikwete

Thanks God for Giving us Kikwete

The unfortunate of your accusation s that you were not even here when I wrote this, so you would not have understand anything or even my reference of Kitab!

Where was I ? re-check your calendar.

What kitab? Alf lela U lela? trying to be smart again?
 
For your information and those who may be curios to know about Kitab Alf, when I wrote this, it was my 1000 post and hence reference of Kitab Alf! now since you are angling into Udini, your focus has been simply relating the stories of the Kitab Alf and you do not see any relationship. Everyone has a style and unique way even perspective to write, so until when you can learn to understand the writer and his or her styling, then you can be in a position to admire the literature work of a writer.

As far as the Lord goes, again artistic reference and it has been used (charge me with plagarizing I will accept lifting someone else work)!

Alf? is not Alf Lela U lela. And what has it got to do na shukrani zako kwa kupewa Kikwete?

Tremendously stupidity to keep on trying to defend your mockery.

Haven't seen you using the real artistic values of our beloved son of man, or is it god? depicted as gay. Have you? In a true "Holy"wood trumpeted art.
 
Where was I ? re-check your calendar.

What kitab? Alf lela U lela? trying to be smart again?
Ulikuwepo lakini ukitumia jina jengine,account hiyo uliyonayo,lakini jina umebadili.Ulikuwa kimya,nadhani ni wakati mafisadi hamjatambuwa kwamba udini na ukabila ndo the way to go.
Mkiwa bado hamjafahamu namna ya kudeal na gharika la mabadiliko ya wananchi waliochoshwa!

Kwani unadhani hatujuwi JF ilkuwaje?ndo maana watu wanashangazwa,wanadhani haukuwepo humu!kumbe ni kwamba udini mmeuanza baada ya kushikwa pabaya.

Kiukweli inabidi tuanze kujadili namna ya kudeal na provocations zako.Kuwekwe sheria humu dhidi ya watu wenye kuharibu thread kwa kuingiza udini na ukabila.
 
Na ameanza kutayarisha dynasty kwa kumweka mkewe na mwanaye kwenye NEC ya chama chake. Asante Mungu!

Hili mimi wala halinitishi na wala silishangai. kwa yeyote mwenye mtazamo wa kuchukua utawala wa waTz kwa sasa hawezi kuwekeza kwenye CCM, unless ni walewale wafaidika wa CCM (ambao always wao wanawaza maslahi yao binafsi). Hao waache wajazane huko huko CCM kwani mwisho wao ushawadia. Ningesikitika na kushtuka sana kama hao wafaidika wa system wangeenda upinzanini. Kama ni CCM awaachie hata uenyekiti wa taifa hilo wala halina mashiko yoyote! Tujiandae tu kuandaa mashtaka ya uhujumu uchumi, mauaji, matumizi mabaya ya madaraka, wizi, rushwa nk na kujibu hoja kuwa kinga dhidi ya mashtaka haitukimi pale rais anapoenda kinyume na kiapo chake cha kazi
 
Alf? is not Alf Lela U lela. And what has it got to do na shukrani zako kwa kupewa Kikwete?

Tremendously stupidity to keep on trying to defend your mockery.

Haven't seen you using the real artistic values of our beloved son of man, or is it god? depicted as gay. Have you? In a true "Holy"wood trumpeted art.

Zomba,

Again you are proving to the kadamnasi of your ignorance, zeal and stupidity. I am glad you took time to read this again and you are full of ghadhab.....one said before ficha upumbavu...so you can accuse me and curse me all you want, but keep your ignorance a private matter!
 
Kwa nini tusiendelee kushukuru? Maana hata katika udhaifu wake kama mtendaji na kiongozi, mengi yanafunuka hata kuhusu sisi kama Taifa na wananchi! Tujiulize kwa nini tulimpa dhamana tena 2010? Je tulikuwa tumelewa au ni upofu uliokomaa?

Yote haya yanayotokea, ni lazima yatokee na ni kutokana na namna ya uongozi wake, tunaweza kujipima kama Taifa na jamii kuona kama tuko kwenye mstari sahihi au tuanze upya.

Ni Fasihi dada yangu na ukweli ni kuwa jamii ni lazima ijitazame hata kutumia fasihi na kujitambua ala, kumbe nasi twachangia na si Kikwete pekee.

Nilipoandika Screw Muungwana, ilikuwa miezi michache baada ya yeye kuchaguliwa, na hata kabla hajaapishwa niliandika mada nyingine "Hercules..." nayo ikionyesha wazi maoni yangu kuhusu uwezo wake wa kufanya kazi na kuwa kiongozi.

Sasa ukirudi kuvisoma, utafikiri ulikuwa ni unajimu!

So bado namshukuru, maana si Kikwete pekee, bali hata wengine twaanza kuwatambua na tunaanza kujitambua kama jamii!

Kuna transition ambazo watanzania wanatakiwa wazipitie. Mojawapo ni kuwa na rais kama JK.
 
Zomba,

Again you are proving to the kadamnasi of your ignorance, zeal and stupidity. I am glad you took time to read this again and you are full of ghadhab.....one said before ficha upumbavu...so you can accuse me and curse me all you want, but keep your ignorance a private matter!

Reminding me of Mark Twain "When I was a boy of 14, my father was so ignorant I could hardly stand to have the old man around. But when I got to be 21, I was astonished at how much the old man had learned in seven years."

When your mind reaches the maturity of 21, doesn't matter how old you are right now, your mind simply has a growth impairment, you will surely understand who is the stupidest, you are not even in the league of honor to be called arrogant, it will be too high a credit for someone who relates "Alf" with Alf Lela u Lela!

"You can fool some people sometimes but you cant fool all the peoples all the time" that was a message to preachers, wasn't it Reverend?
 
Reminding me of Mark Twain "When I was a boy of 14, my father was so ignorant I could hardly stand to have the old man around. But when I got to be 21, I was astonished at how much the old man had learned in seven years."

When your mind reaches the maturity of 21, doesn't matter how old you are right now, your mind simply has a growth impairment, you will surely understand who is the stupidest, you are not even in the league of honor to be called arrogant, it will be too high a credit for someone who relates "Alf" with Alf Lela u Lela!

"You can fool some people sometimes but you cant fool all the peoples all the time" that was a message to preachers, wasn't it Reverend?

Potato, potata, tomato tomata.. take a pick! keep up with your busara of ghadhab, I made my point, I rest my case!
 
Mwenyezi Mungu huwa ana makusudi kwa kila jambo linalokuja kwa wanadamu, zuri au baya! Imani yangu inanituma kuwa alimleta Kikwete ili Tanzania ipate ukombozi kamili toka kwa CCM (wakoloni weusi). Hizi ndo sababu zangu: -

1. Baadaya Kikwete kushindwa kura za maoni 1995 alianzisha mtandao wa kusaka urais tangia hapo. Mtandao ambao ndio chanzo cha makundi ya CCM na ambayo hayawezi kuisha ndani ya chama hicho. (Kikwete muasisi wa makundi)

2. Kikwete na mtandao wake walinunua wahariri wa vyombo vya habari ili kumpamba Kikwete na kuwachafua washindani wake. (Rejea kauli za Sumaye) Walipoingia madarakani na seriksli yao ikawa legelege wakawageuka waandishi wanaowakosoa na kufungia vyombo vyao. (Mwanahalisi, Kulikoni, Mwananchi, Mtanzania nk) Ccm ikatengeneza uadui na waandishi.

3. Kikwete katika uchaguzi uliopita baada ya kukabwa vilivyo na Dr Slaa, washauri wake na chama chake wakamshauri kuelekeza siasa misikitini kujaribu kuokoa jahazi. Yanayotokea baada ya hapo kila mmoja anaona. (Kikwete muasisi wa udini) Wenye macho wanaweza kuona CCM itakavyoangushwa na udini.

4. Kauli yake ya maisha bora iliwapa matumaini watanzania kuwa inawezekana wamepata mkombozi mpya. Matumaini yoa yanayeyuka kama barafu na sasa tafiti zinaonyesha watanzania hawana imani na serikali, Kikwete na CCM.

5. Amevuruga uhusiano wa kidiplomasia na nchi zinazotuzunguka (Rejea kutengwa kwa Tanzania EAC na mgogoro wa Malawi)

Yote haya yakiweza kufanyiwa kazi na upinzani sioni CCM ikiokoka. Ni mpango wa Mungu Kikwete kusababisha ukombozi?
 
Ni kusudi la Mungu kumweka kikwete madarakani ili udhaifu na maovu ya serikali yajulikane kupitia udhaifu wake.Pili,ni kusudi la Mungu kuwepo madarakani ili watu wajue wezi na mafisafi wa nchi hii kupitia uongozi wake dhaifu kupitia watendaji wake dhaifu.
 
Mwenyezi Mungu huwa ana makusudi kwa kila jambo linalokuja kwa wanadamu, zuri au baya! Imani yangu inanituma kuwa alimleta Kikwete ili Tanzania ipate ukombozi kamili toka kwa CCM (wakoloni weusi). Hizi ndo sababu zangu: -

1. Baadaya Kikwete kushindwa kura za maoni 2005 alianzisha mtandao wa kusaka urais tangia hapo. Mtandao ambao ndio chanzo cha makundi ya Ccm na ambayo hayawezi kuisha ndani ya chama hicho. (Kikwete muasisi wa makundi)

2. Kikwete na mtandao wake walinunua wahariri wa vyombo vya habari ili kumpamba Kikwete na kuwachafua washindani wake. (Rejea kauli za Sumaye) Walipoingia madarakani na seriksli yao ikawa regerege wakawageuka waandishi wanaowakosoa na kufungia vyombo vyao. (Mwanahalisi, Kulikoni, Mwananchi, Mtanzania nk) Ccm ikatengeneza uadui na waandishi.

3. Kikwete katika uchaguzi uliopita baada ya kukabwa vilivyo na Dr Slaa, washauri wake na chama chake wakamshauri kuelekeza siasa misikitini kujaribu kuokoa jahazi. Yanayotokea baada ya hapo kila mmoja anaona. (Kikwete muasisi wa udini) Wenye macho wanaweza kuona Ccm itakavyoangushwa na udini.

4. Kauli yake ya maisha bora iliwapa matumaini watanzania kuwa inawezekana wamepata mkombozi mpya. Matumaini yoa yanayeyuka kama barafu na sasa tafiti zinaonyesha watanzania hawana imani na serikali, Kikwete na Ccm.

Yote haya yakiweza kufanyiwa kazi na upinzani sioni Ccm ikiokoka. Ni mpango wa Mungu Kikwete kusababisha ukombozi?

Mkuu, yaani umeonesha udhaifu mkubwa saba katika kufikiri. Kwani JK alishindwa kwenye kura za maoni mwaka 2005? kama ndo hivyo, je alishindaje nafasi hiyo ndani ya chama?
 
mambo ya BAVICHA kazi kweli inakuwaje maswala ya mungu utuulize sisi kwani Mungu tunakaa naye wapi sisi.
 
Mambo ya siasa ni Mpango wa Mwanadamu. Hapo Mungu ameingizwa kibavichabavicha
 
Mwenyezi Mungu huwa ana makusudi kwa kila jambo linalokuja kwa wanadamu, zuri au baya! Imani yangu inanituma kuwa alimleta Kikwete ili Tanzania ipate ukombozi kamili toka kwa CCM (wakoloni weusi). Hizi ndo sababu zangu: -

1. Baadaya Kikwete kushindwa kura za maoni 2005 alianzisha mtandao wa kusaka urais tangia hapo. Mtandao ambao ndio chanzo cha makundi ya Ccm na ambayo hayawezi kuisha ndani ya chama hicho. (Kikwete muasisi wa makundi)

2. Kikwete na mtandao wake walinunua wahariri wa vyombo vya habari ili kumpamba Kikwete na kuwachafua washindani wake. (Rejea kauli za Sumaye) Walipoingia madarakani na seriksli yao ikawa regerege wakawageuka waandishi wanaowakosoa na kufungia vyombo vyao. (Mwanahalisi, Kulikoni, Mwananchi, Mtanzania nk) Ccm ikatengeneza uadui na waandishi.

3. Kikwete katika uchaguzi uliopita baada ya kukabwa vilivyo na Dr Slaa, washauri wake na chama chake wakamshauri kuelekeza siasa misikitini kujaribu kuokoa jahazi. Yanayotokea baada ya hapo kila mmoja anaona. (Kikwete muasisi wa udini) Wenye macho wanaweza kuona Ccm itakavyoangushwa na udini.

4. Kauli yake ya maisha bora iliwapa matumaini watanzania kuwa inawezekana wamepata mkombozi mpya. Matumaini yoa yanayeyuka kama barafu na sasa tafiti zinaonyesha watanzania hawana imani na serikali, Kikwete na Ccm.

Yote haya yakiweza kufanyiwa kazi na upinzani sioni Ccm ikiokoka. Ni mpango wa Mungu Kikwete kusababisha ukombozi?
Michezo yenu ya kununua vyombo vya habari unadhani kila watu hufanya na chama chenu cha ukoo lazima kitafia kwenye ukoo.
 
Back
Top Bottom