Thanks God..Thanks to all JF friends !!

Thanks God..Thanks to all JF friends !!

[h=2]Mwenye macho haambiwi tazama.......Kwa mara nyingine tena...
Hongereni sana Kabuche1977 na Firstlady kwa siku yenu hii muhimu
MUNGU AENDELEE KUWABARIKI


The Following 7 Users Say Thank You to FirstLady1 For This Useful Post:[/h]
CPU (Today), Egyps-women (Today), Gaga (Today), Kabuche1977 (Today), RR (Today), The Finest (Today), WiseLady (Today)​

[h=2]The Following 7 Users Say Thank You to FirstLady1 For This Useful Post:[/h]
CPU (Today), Egyps-women (Today), Gaga (Today), Kabuche1977 (Today), RR (Today), The Finest (Today), WiseLady (Today)​
[h=2]The Following 2 Users Say Thank You to MwanajamiiOne For This Useful Post:[/h]
FirstLady1 (Today), Kabuche1977 (Today)​
[h=2]The Following 2 Users Say Thank You to PakaJimmy For This Useful Post:[/h]
FirstLady1 (Today), Kabuche1977 (Today)​
[h=2]The Following 2 Users Say Thank You to LD For This Useful Post:[/h]
FirstLady1 (Today), Kabuche1977 (Today)​
[h=2]The Following 2 Users Say Thank You to RR For This Useful Post:[/h]
FirstLady1 (Today), Kabuche1977 (Today)​
[h=2]The Following 2 Users Say Thank You to Ulimakafu For This Useful Post:[/h]
FirstLady1 (Today), Kabuche1977 (Today)​
[h=2]The Following 2 Users Say Thank You to CPU For This Useful Post:[/h]
FirstLady1 (Today), Kabuche1977 (Today)​
[h=2]The Following 2 Users Say Thank You to Kbd For This Useful Post:[/h]
FirstLady1 (Today), Kabuche1977 (Today)​
[h=2]The Following 2 Users Say Thank You to Egyps-women For This Useful Post:[/h]
FirstLady1 (Today), Kabuche1977 (Today)​
[h=2]The Following User Says Thank You to FirstLady1 For This Useful Post:[/h]
Kabuche1977 (Today)​
[h=2]The Following User Says Thank You to FirstLady1 For This Useful Post:[/h]
Kabuche1977 (Today)​

heheheh ngoja shemeji yangu PJ aje hapa sijui una la kumjibu...
 
Hongera sana FL,umeyaweza yote ktk yeye aliyekutia nguvu.........na aendelee kuwa nanyi siku zote.Stay strong

Thanks Wiselady namuomba mungu aendelee kutupigania ....
I see kuna wakati ... haya mama ..nisalimie hapo ulipo..
 
Hongereni sana dada FL1.....Mungu awajalie maisha marefu and more anniversaries to come!!!!

JS unapotea sana mpenzi kulikoni ndo majukumu yanakufanya hata salam kwa wapendwa wako ipotee ??
 
Ndugu yangu kabuche1977, hebu jitokeze basi uongee kidogo
Huwa simuamini Babu kabisaaaaa . . . . .

hahahahaha jamani nyie mie nacheka tu heheheheheh ....
 
Thanks Wiselady namuomba mungu aendelee kutupigania ....I see kuna wakati ... haya mama ..nisalimie hapo ulipo..
lol! Ndo nini unapata kigugumizi lkn?nway vile leo tutaparty bdae wacha nisikusonge lkn najua utaninong'oneza,nimewasalimia wanakutakia gudcheer:hug:
 
Hahahaha...babu amevaa mawani yake leo...na umri huu anajua sana kunusa...
Angalia MISENKSI anayomwaga kabuche hapo afu connect them dots...LOL
Jose Mario O'campo ameniahidi ajira.....

Lovely babu Asprin ile vocha uliyonambia unanitumia mpaka sasa haijaingia ??ama unatania ...
 
Ubarikiwe katika yote na uwe na ndoa ya amani!
 
Kimey leo umetoka mapangoni na kuongea asante sana tukumbukane kupitia njia ya barua
Asante
Mama wa kwanza mbona nipo sana! wewe tu sijui unpitia mtaa gani, hehehehe nimeshamtuma njiwa akuletee barua ya pongezi kwa kufikia 4th anniversary ya ndoa yako! Isubiria hapo Nyamanoro, Baadae pale malaika usisahau kuniwekea "Voice of No Reason" zangu bana!
 
Sina budi kumshukuru mwenyezi mungu kwa kuniwezesha kufika hapa nilipo .
Leo ni anniversary yangu ya ndoa 4 years ...nina furaha sana juu ya jambo hili jema kwangu
Pia kukaa na mwenza mbali ni ngumu kwa maisha ya kawaida ..
ukweli ni kwamba kwa uwezo wangu pekee nisingeweza lakini mwenyezi ...
Mungu wa haki na rehema ananipigania na kuniwezesha
Kuna wakati kunakuwa na mawimbi na dhoruba kama upepo wa bahari
lakini inafika kipindi hali inakuwa shwari na tulivu maisha yanaendelea...
Namshukuru mungu anaendelea kuipigania na kuiongoza family yangu..
Thanks my beloved husb and my lovely Doughter M...
Nawashukuru sana wanaJF kuwa pamoja nami kwani tumekuwa kama family ambayo..
baadhi yenu huwa mnanihoji maswali wewe mama Rais unatafuta nn JF usiku wote huu prezidaa yuko wapi?
Ukweli ni kuwa anakuwa katika safari zake za kutafuta mkate wa kila siku....
Nikiwa mpweke sana naingia JF kubadilishana mawazo nanyi ndugu na marafiki zangu....nafarijika
nazipenda nasaha zenu wote zipo nazojifunza ,naburudika hata nacheka na kuongeza siku za kuishi.
Pia wapenzi mabinti na kina kaka ambao hamjaoa na kuolewa ..msikate tamaa wala msiwe na haraka ya jambo hili
Mungu mwenyewe aliahidi katika maandiko matakatifu ...atatupatia msaidizi wa kufanana nae ..na anajua kabisa mahitaji yetu ya kimwili na kiroho
Msife katika imani kwani mungu hachelewi wala hawahi..yeye hutoa kwa wakati wake tusipozimia mioyo yetu...
Tuendelee kuombeana ktk safari ya maisha ...msisahau kufanya cheers kwa ajili yangu:happy:

URL]




hongera sana bibie,
mungu azidi kuibariki familia yako......................
 
Hongera sana Fl1,uendelee kubarikiwa mpaka ushangae
 
Hongera sana my dear FL1

Kumbe bado mchanga sana kwen ndoa eeh.....LOL

Keep on walking the good, blessed life....

Baadaye basi tutete kidogo....
 
Sina budi kumshukuru mwenyezi mungu kwa kuniwezesha kufika hapa nilipo .
Leo ni anniversary yangu ya ndoa 4 years ...nina furaha sana juu ya jambo hili jema kwangu
Pia kukaa na mwenza mbali ni ngumu kwa maisha ya kawaida ..

Pia wapenzi mabinti na kina kaka ambao hamjaoa na kuolewa ..msikate tamaa wala msiwe na haraka ya jambo hili
Mungu mwenyewe aliahidi katika maandiko matakatifu ...atatupatia msaidizi wa kufanana nae ..na anajua kabisa mahitaji yetu ya kimwili na kiroho
Msife katika imani kwani mungu hachelewi wala hawahi..yeye hutoa kwa wakati wake tusipozimia mioyo yetu...
Tuendelee kuombeana ktk safari ya maisha ...msisahau kufanya cheers kwa ajili yangu:happy:

URL]

Hongera sana dada yangu ingawa siku hizi umeadimika.....Wakati baby atakuwa anasubiri mdogo wake, mimi nilidhani ndo unakuwa huru kidogo...Hata hivyo tunatambua uzito wa kuwa na multiple and competing demands...baba, mtoto, kazi, ndugu, marafiki ..+ JF!!!

Ila hapo chini umeniacha hoi...Siku ikamua kubadili jina usihangaike...wewe ni MAMA MCHUNGAJI...Hapo hakuna ubishi kabisa!!
 
Sina budi kumshukuru mwenyezi mungu kwa kuniwezesha kufika hapa nilipo .
Leo ni anniversary yangu ya ndoa 4 years ...nina furaha sana juu ya jambo hili jema kwangu
Pia kukaa na mwenza mbali ni ngumu kwa maisha ya kawaida ..
ukweli ni kwamba kwa uwezo wangu pekee nisingeweza lakini mwenyezi ...
Mungu wa haki na rehema ananipigania na kuniwezesha
Kuna wakati kunakuwa na mawimbi na dhoruba kama upepo wa bahari
lakini inafika kipindi hali inakuwa shwari na tulivu maisha yanaendelea...
Namshukuru mungu anaendelea kuipigania na kuiongoza family yangu..
Thanks my beloved husb and my lovely Doughter M...
Nawashukuru sana wanaJF kuwa pamoja nami kwani tumekuwa kama family ambayo..
baadhi yenu huwa mnanihoji maswali wewe mama Rais unatafuta nn JF usiku wote huu prezidaa yuko wapi?
Ukweli ni kuwa anakuwa katika safari zake za kutafuta mkate wa kila siku....
Nikiwa mpweke sana naingia JF kubadilishana mawazo nanyi ndugu na marafiki zangu....nafarijika
nazipenda nasaha zenu wote zipo nazojifunza ,naburudika hata nacheka na kuongeza siku za kuishi.
Pia wapenzi mabinti na kina kaka ambao hamjaoa na kuolewa ..msikate tamaa wala msiwe na haraka ya jambo hili
Mungu mwenyewe aliahidi katika maandiko matakatifu ...atatupatia msaidizi wa kufanana nae ..na anajua kabisa mahitaji yetu ya kimwili na kiroho
Msife katika imani kwani mungu hachelewi wala hawahi..yeye hutoa kwa wakati wake tusipozimia mioyo yetu...
Tuendelee kuombeana ktk safari ya maisha ...msisahau kufanya cheers kwa ajili yangu:happy:

URL]

Hongera na tunaomba baraka tele kwako na familia yako..kumbuka.. Familia yako na upendo wako ni kama bustani ya maua yachanuayo na kupendezesha macho..nyuma yake ni kazi nzito ya kufanya bustani iendelee kuchanua maua.. Basi ongeza Muda, Juhudi, Busara na Mauhusiano bora ili Maua yaeendee kuchanua daima!

Happy 4[SUP]th[/SUP] year anniversary!
 
Sina budi kumshukuru mwenyezi mungu kwa kuniwezesha kufika hapa nilipo .
Leo ni anniversary yangu ya ndoa 4 years ...nina furaha sana juu ya jambo hili jema kwangu
Pia kukaa na mwenza mbali ni ngumu kwa maisha ya kawaida ..
ukweli ni kwamba kwa uwezo wangu pekee nisingeweza lakini mwenyezi ...
Mungu wa haki na rehema ananipigania na kuniwezesha
Kuna wakati kunakuwa na mawimbi na dhoruba kama upepo wa bahari
lakini inafika kipindi hali inakuwa shwari na tulivu maisha yanaendelea...
Namshukuru mungu anaendelea kuipigania na kuiongoza family yangu..
Thanks my beloved husb and my lovely Doughter M...
Nawashukuru sana wanaJF kuwa pamoja nami kwani tumekuwa kama family ambayo..
baadhi yenu huwa mnanihoji maswali wewe mama Rais unatafuta nn JF usiku wote huu prezidaa yuko wapi?
Ukweli ni kuwa anakuwa katika safari zake za kutafuta mkate wa kila siku....
Nikiwa mpweke sana naingia JF kubadilishana mawazo nanyi ndugu na marafiki zangu....nafarijika
nazipenda nasaha zenu wote zipo nazojifunza ,naburudika hata nacheka na kuongeza siku za kuishi.
Pia wapenzi mabinti na kina kaka ambao hamjaoa na kuolewa ..msikate tamaa wala msiwe na haraka ya jambo hili
Mungu mwenyewe aliahidi katika maandiko matakatifu ...atatupatia msaidizi wa kufanana nae ..na anajua kabisa mahitaji yetu ya kimwili na kiroho
Msife katika imani kwani mungu hachelewi wala hawahi..yeye hutoa kwa wakati wake tusipozimia mioyo yetu...
Tuendelee kuombeana ktk safari ya maisha ...msisahau kufanya cheers kwa ajili yangu:happy:

URL]

Safi Sana fl1 na endelea kuwa na moyo huo na Mungu akujalie kwenye ndoa yako idumu zaidi.
 
hongera sana bibie,
mungu azidi kuibariki familia yako......................

asante sana Bacha
Na iwe kama baraka zako uniombeazo kwenye mwenyezi mungu
Amen
 
Back
Top Bottom