matunduizi
JF-Expert Member
- Aug 20, 2018
- 7,968
- 19,368
Well said, but the catholic church is not here to make people happy with the service it providesCatholicism is ideology,
Catholic is an institution,
Catholic is church,
Catholic has succession plan
Catholic is about nurturing and raising responsible generation.
You will never find any of those with Mwamposa's single-man-ship services
Much as I'm not happy with everything happening in Catholic church, I however, can't equate it with Mwamposa.
karibia nusu ya wale watu kwa mwaposa ni wakatoliki, soon they are coming to understand kwamba catholism is nothing but satanism. pamoja na kwamba kwa mwaposa kwenyewe wameenda ni kule kule baba yao mmoja, ila walau, wakitoka huko kwa roma wataenda kanisa sahihi muda utakavyoendelea.Formally the catholic church was the over all in all aspects pertaining to Godly issues.
Now consumers have wider choice coz there is high supply of services.
Hakuna muujiza unaofanywa na Mwamposa ni utapeli ambao hata wewe unaweza kuufanyaBut Jesus Himself claimed miracles and surely He performed them
Huwezi kukuta mwanaume au mwanamke mwenye akili timamu kaenda kule wale waliopo kule wapime akili zao utagundua jambo mazombikaribia nusu ya wale watu kwa mwaposa ni wakatoliki, soon they are coming to understand kwamba catholism is nothing but satanism. pamoja na kwamba kwa mwaposa kwenyewe wameenda ni kule kule baba yao mmoja, ila walau, wakitoka huko kwa roma wataenda kanisa sahihi muda utakavyoendelea.
Tukio la siku moja ndio mnataka kuvimba kichwa hivyo tena la mahali pamoja🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Formally the catholic church was the over all in all aspects pertaining to Godly issues.
Now consumers have wider choice coz there is high supply of services.
Na ndio chanzo Cha makanisa yote ya protestants..... Hao akina mwamposa hawana waumini wa kudumu na mwamposa akifa na kanisa linakufa. Ni ujinga anafanya hapo kwa kutumia biblia.....Hilo linaitwa Kanisa Moja Katoliki la Mitume. Lilikuwepo, lipo na litaendelea kuwepo daima!
Mkuu kwani kuna formula au kanuni ya kuabudu iliyowekwa na Mungu? Zote si ni utaratibu wa wishes za watu tuKwa Mwamposya kuna
1) Nyimbo
2) shuhuda.
3) maombezi ya miujiza na wanawake kuanguka hovyo.
4) mauzo ya mafuta ya "upako"
5) makusanyo ya sadaka za cash
6) Matangazo ya namba mbali mbali za "sadaka"
7) Humor katikati anachomeka mistari miwili ya kuogofya toka Agano la kale na miwili ya Agano Jipya ikiwa na 75% matamshi mawil "hallelujah na kwa jina la Yesu Kristo" kwa wingi.
8) Matangazo ya Operation komboa familia
9) Kuondoka na masurufu.
Sidhani kapitia hata Sunday School.
After visiting some of the churches and attending their services, I saw how they are disorganised in terms of arranging the whole mass service. The only part which they are at least capable of is the sermons. After that every thing turns into shamblesFor us catholics we worship idols, that's the reason why logical reasoning pple abandone catholics to pentecostal churches or Islam.
Mtu aliyekodishwa kwa muda kiwanja cha kuswaga ng'ombe hapo Kawe ndio umlinganishe na Kanisa Katoliki Tanzania?Formally the catholic church was the over all in all aspects pertaining to Godly issues.
Now consumers have wider choice coz there is high supply of services.
Kweli kabisa. Kanisa Katoliki limejengwa kwenye Mwamba unaitwa Petro sio rahisi kuteteleka kama makanisa ya akina Kakobe, Mwingira, Kikombe Cha Babu na huyo Mwamposa!Na ndio chanzo Cha makanisa yote ya protestants..... Hao akina mwamposa hawana waumini wa kudumu na mwamposa akifa na kanisa linakufa. Ni ujinga anafanya hapo kwa kutumia biblia.....
It’s disappointing to see such a shallow and uninformed perspective. Catholic worship isn’t about idolizing objects, but honoring the deeper meanings they represent in faith. Dismissing an entire tradition based on misconceptions only reveals a lack of understanding. Logical reasoning calls for open-mindedness, not blanket judgmentsFor us catholics we worship idols, that's the reason why logical reasoning pple abandone catholics to pentecostal churches or Islam.
"Catholic worship isn’t about idolizing objects, but honoring the deeper meanings they represent in faith"It’s disappointing to see such a shallow and uninformed perspective. Catholic worship isn’t about idolizing objects, but honoring the deeper meanings they represent in faith. Dismissing an entire tradition based on misconceptions only reveals a lack of understanding. Logical reasoning calls for open-mindedness, not blanket judgments
It's clear you're not grasping the distinction between veneration and idol worship. Catholics don't worship statues, they honor saints as models of faith. But then again, it's easier to parrot misconceptions than to engage with actual theology. Perhaps try learning before calling others fools"Catholic worship isn’t about idolizing objects, but honoring the deeper meanings they represent in faith"
Saying this is the stupidity of the highest order, so what is the essence of worshiping almighty God through an Idol, Catholics take their followers as fools confusing them with fake explanations, the fact remains that catholics are idol worshippers.
Hard truth.For us catholics we worship idols, that's the reason why logical reasoning pple abandone catholics to pentecostal churches or Islam.
Look at this video en prove to your self that catholics are idol worshippers no different with paganism of the past......Hard truth.
View attachment 3178072