Thanks to technology, kazi ya utongozaji inakuwa rahisi kila siku

Mimi kwangu bado ni changamoto sema poa tuu oneday yes...
 


Inaonyesha jinsi wewe mwenyewe ulivyo domo zege....toka zama hizo wanawake wa kibongo hawana noma yaani ni wepesi mno kuvuliwa chupi ni sawa tu uwaonavyo mademu wa kibongo muvi. Yaani wanauza sura ili wapate kuonekana kiurahisi kupigwa miti. Wanqume siku hizi hatutongozi, we nenda baa tu kupata msosi utaona demu anajileta mwenyewe.
 
yethuuuu wangu...siku kwetu kishumundu,tunasema ukipata mtengo tu[namba ya simu] kazi kwishaa huyo ni wako.....
 
tena maombi haswaa! ya kufunga siku 40 kama kwa rezma
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…