Thanx God....17 yrs...Still getting stronger

Fukuzia mwanawane ikiwezekana hama hata mtaa msichana ataanza kukumiss kama kweli umemuingia moyoni, kuna wakati mwingine huw a tunajidanganya kwamba hatuwapendi watu kumbe deep inside kabisa mahaba yamejaa tele

huwezi ukajua wakati mwingine bahati ya mwenzio pia yaweza kuwa ya kwako........it is implausible but you never know how the Almighty God works in people....................................aendelee kukaza buti mpaka kieleweke..............Let his gentleness be be known to all for the Lord is at hand...................
 
Hongera!Nawatakieni kila la kheri!
 
Kwa kweli nimefurahi umenipa moyo , na Mungu najua ndiye aliyenifikisha hapa nilipo, pia nina shuhuda nyingi tu za kushuhudia, ahsante sana

Ubarikiwe sana.................
 
Usijali Gaga unastahili yote haya, pongezi ni haki yako kabisa
 
Hongereni sana sana,
mungu azidi kuibariki ndoa yenu pamoja na familia yenu kwa ujumla.
 
Hahahahaaaaaaa, kwa kweli utundu wako ulilipa, ila inaonekana ulianzamambo ukiwa mdogo sana, jamaa huyo ni hatari sana
 
Hongera sana Gaga, tumejifunza mengi sana kutoka kwako, yaani kwa miaka mingi uliyokaa kwenye ndoa nahisi hakuna la kukubabaisha, nakuonea raha pamoja na kuolewa siku nyingi bado umri wako unadai kabisa, hongela sana bibie Mungu akuzidishie baraka tele
 
kwa kweli, bahati ya mwenzako usiilalie mlango wazi
 
Hahahahaaaaaaa, kwa kweli utundu wako ulilipa, ila inaonekana ulianzamambo ukiwa mdogo sana, jamaa huyo ni hatari sana
Wewe mtoto embu acha chokochoko
 
Nashukuru sana kama kuna kitu umejifunza kwangu dinnah, Mungu ni mkubwa sana na kwake yanawezekana yote
 

Usiwe na wasiwasi tunaileta. Si unajua tena hizi foleni? Na umeme huku kwetu hakuna masaa 21 sasa.
 
Aisee Hongera Mdada kwa mafanikio uliyofikia, Mungu azidi kuibariki Ndoa yenu iwe na mafanikio zaidi na zaidi...
Angalau nimepata funzo kwenye hii story yako...
 
Be blessed guys 17yrs si jambo la kukaa kimya,tumeshuhudia ndoa za wiki 1,2 miezi.Najua maisha sio rahisi hivyo but you know how to face the challenges togethor.Nawatakia maisha mema jamani
 
Be blessed guys 17yrs si jambo la kukaa kimya,tumeshuhudia ndoa za wiki 1,2 miezi.Najua maisha sio rahisi hivyo but you know how to face the challenges togethor.Nawatakia maisha mema jamani
u
Charger nashukuru mkuu sanasana t
 
Aisee Hongera Mdada kwa mafanikio uliyofikia, Mungu azidi kuibariki Ndoa yenu iwe na mafanikio zaidi na zaidi...
Angalau nimepata funzo kwenye hii story yako...
nashukuru kama umepata funzo kupitia mimi
 
nashukuru kama umepata funzo kupitia mimi
Sweety za toka jana,siulizi sarakasi za jana usiku za anniversary, sasa unaonaje huyu jamaa ukampa notice kwamba utakuwa nae miaka mingine mitatu yaani jumla ishirini na kuna mtu huku uraiani nae anahitaji furaha ya miaka 5 hivi ?
 
Sweety za toka jana,siulizi sarakasi za jana usiku za anniversary, sasa unaonaje huyu jamaa ukampa notice kwamba utakuwa nae miaka mingine mitatu yaani jumla ishirini na kuna mtu huku uraiani nae anahitaji furaha ya miaka 5 hivi ?
hahhhahahahaaaa uporoto, kwa hiyo nimwambie baada ya miaka mitatu akae pembeni? duh haya kwa kuwa wewe ni swt wangu nitafikiria hilo , na sasa ukizingatia bado nina muda wa kufikiria
 
hahhhahahahaaaa uporoto, kwa hiyo nimwambie baada ya miaka mitatu akae pembeni? duh haya kwa kuwa wewe ni swt wangu nitafikiria hilo , na sasa ukizingatia bado nina muda wa kufikiria
Mwambie asiwe mchoyo bana miaka 20 imemtosha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…