Thanx God,nimechaguliwa UDSM !

Thanx God,nimechaguliwa UDSM !

Sijui kwanini simuamini Perry ebu pitieni post zake mtajifunza kitu kutoka kwa huyu mjomba, ni moja ya watu wabishi, wenye mashaka, mwongo. Ngoja lakini ukweli mtaujua. Samahani lakini kama nimekukera kaka Perry
 
Last edited by a moderator:
Sijui kwanini simuamini Perry ebu pitieni post zake mtajifunza kitu kutoka kwa huyu mjomba, ni moja ya watu wabishi, wenye mashaka, mwongo. Ngoja lakini ukweli mtaujua. Samahani lakini kama nimekukera kaka Perry

mkuu,nlikua siamin bt nimejionea mwenyewe so nimeamin ile list ya mkuu ze duduz.
 
Last edited by a moderator:
Kijana nenda kasome, kumbuka huendi "KUCHUGUA DEGREE" kama ambavyo mmezoea kusema unaenda "KUSOMEA DEGREE", tuliopita pale UDSM tunajua vukuto lake hasa ukiwa na "mentality" ya kwenda kuchugua degree na sio kusomea degree! mwenye busara maneno yanatosha!
 
mkuu,nlikua siamin bt nimejionea mwenyewe so nimeamin ile list ya mkuu ze duduz.

Hongera kaka. Ngoja na sisi tuliogalagazwa Ud tusubiri hatma zetu, sijui Sua, Mzumbe au Dom.
 
kapigemsuli ohoo sisi ngoja tukapige msuli kwenye vyuo vya vipanga(sua),sio udsm kwa walalaji sua ndo kwa wakeshajiiiii

udsm ndio kiboko,sua kwa mabwege yanayojidai kukomaa na kitabu kumbe ovyoooo!sua ni washamba watupu hakuna lolote,mtu na div 3 yake ya 17 anajigamba,ulinganishe na udsm,udsm ndio chuo pekee tz ambacho kina wahadhiri wenye uwezo na sifa kimataifa na siyo sua,saut,mzumbe,muccobs,imf,dit,teku wala aru,udsm ni chuo pekee tz,cheki sifa za wahadhiri wenyewe utapenda! Eti saut,ujinga ujinga!
 
udsm ndio kiboko,sua kwa mabwege yanayojidai kukomaa na kitabu kumbe ovyoooo!sua ni washamba watupu hakuna lolote,mtu na div 3 yake ya 17 anajigamba,ulinganishe na udsm,udsm ndio chuo pekee tz ambacho kina wahadhiri wenye uwezo na sifa kimataifa na siyo sua,saut,mzumbe,muccobs,imf,dit,teku wala aru,udsm ni chuo pekee tz,cheki sifa za wahadhiri wenyewe utapenda! Eti saut,ujinga ujinga!


Tunaheshimu mawazo yako kiongozi.Ni kweli kabisa elimu ya UDSM ni ngumu na isiyotabirika..Kumaliza masomo pale ni bahati..Kwa bahati mbaya sana ,hata baadhi ya Wahadhiri wa pale wana mtazamo kama wako..Wanafunzi & wahitimu wa UDSM tafadhilini sana punguzeni ngembe,dharau na majivuno.
Tutambue kuwa,hatimaye,msomi wa kweli anapimwa kwa matokeo ya kazi zake.
Binafsi,naviheshimu sana vyuo ulivyotaja kwa dhihaka na dharau.Ukweli ni kuwa, haiwezekani wahitimu wote wa Kidato cha Sita waende UDSM.

 
kapigemsuli ohoo sisi ngoja tukapige msuli kwenye vyuo vya vipanga(sua),sio udsm kwa walalaji sua ndo kwa wakeshajiiiii

na kujiita hilo jina kumbe ni kilaza.....kipindi mimi nasoma undergraduate vilaza wengi ndo walikuwa wanaenda SUA,wenye three
 
udsm ndio kiboko,sua kwa mabwege yanayojidai kukomaa na kitabu kumbe ovyoooo!sua ni washamba watupu hakuna lolote,mtu na div 3 yake ya 17 anajigamba,ulinganishe na udsm,udsm ndio chuo pekee tz ambacho kina wahadhiri wenye uwezo na sifa kimataifa na siyo sua,saut,mzumbe,muccobs,imf,dit,teku wala aru,udsm ni chuo pekee tz,cheki sifa za wahadhiri wenyewe utapenda! Eti saut,ujinga ujinga!

kati ya wapumbavu wa dunia wewe ni namba 1.! Udzm ilikuwa zamani palata mkubwa wewe na ukitaka kuthibitisha hilo angalia wanafunzi waliowachukua mwaka huu 2012 yaani ni vilaza tu mfano mzuri tembelea ile thread niliyopost kwenye ile kozi ya wildlife management then utajua kuwa udzm ishaanza kupotea
 
udsm ndio kiboko,sua kwa mabwege yanayojidai kukomaa na kitabu kumbe ovyoooo!sua ni washamba watupu hakuna lolote,mtu na div 3 yake ya 17 anajigamba,ulinganishe na udsm,udsm ndio chuo pekee tz ambacho kina wahadhiri wenye uwezo na sifa kimataifa na siyo sua,saut,mzumbe,muccobs,imf,dit,teku wala aru,udsm ni chuo pekee tz,cheki sifa za wahadhiri wenyewe utapenda! Eti saut,ujinga ujinga!

Hapo nipo against na wewe kwa kigezo kuwa UDSM ni bora kwa kila kitu,,,unaifaham BAF ya mzumbe?kama unifaham ona wanafunz wanaoenda pale one kali tu.
 
udsm ndio kiboko,sua kwa mabwege yanayojidai kukomaa na kitabu kumbe ovyoooo!sua ni washamba watupu hakuna lolote,mtu na div 3 yake ya 17 anajigamba,ulinganishe na udsm,udsm ndio chuo pekee tz ambacho kina wahadhiri wenye uwezo na sifa kimataifa na siyo sua,saut,mzumbe,muccobs,imf,dit,teku wala aru,udsm ni chuo pekee tz,cheki sifa za wahadhiri wenyewe utapenda! Eti saut,ujinga ujinga!

Unafaa kuimba ngonjera,infact sina uhakika na ulichokisema.....JIPANGEEE
 
Unafaa kuimba ngonjera,infact sina uhakika na ulichokisema.....JIPANGEEE

Hivi jamani kwani wanafunzi wote wanaopata one huenda Udsm? Au udsm haitoi fursa kwa div 3, me nazani hapa tusiwe na ubishi wa div wala vyuo kwani kigezo cha kumtambua mwanafunz bora ni kumpima performance yake na utendaji wake wa kazi atakapo maliza masomo. Me sizani kama wote waliopitia udsm wana hadh ya kile chuo na kinavosifiwa, waweza soma chuo kinachozaraulika na mwishoni ukawa muhimu. Ni kweli Udsm ni chuo kizur ila aliechaguliwa huko asiwabeze wenziwe watakaochaguliwa kwengine kwani udsm sio mwisho wa safari yenu ndefu bado kuna changamoto nyingi
 
Hivi jamani kwani wanafunzi wote wanaopata one huenda Udsm? Au udsm haitoi fursa kwa div 3, me nazani hapa tusiwe na ubishi wa div wala vyuo kwani kigezo cha kumtambua mwanafunz bora ni kumpima performance yake na utendaji wake wa kazi atakapo maliza masomo. Me sizani kama wote waliopitia udsm wana hadh ya kile chuo na kinavosifiwa, waweza soma chuo kinachozaraulika na mwishoni ukawa muhimu. Ni kweli Udsm ni chuo kizur ila aliechaguliwa huko asiwabeze wenziwe watakaochaguliwa kwengine kwani udsm sio mwisho wa safari yenu ndefu bado kuna changamoto nyingi

mkuu,kama umesoma thread yangu vzr,mimi cjaleta malumbano humu au kudharau mtu ambaye hajachaguliwa ud,kwan najua maisha hayako udsm tu bali hata vyuo vingne maisha yapo,ila kuna huyu dogo anajiita mpigamsuli ndo kasababisha haya yote kwa post yake ya kejeli na ndio maana unaona wana udsm nao wamekasrka na kuamua kutoa povu.
 
mkuu,kama umesoma thread yangu vzr,mimi cjaleta malumbano humu au kudharau mtu ambaye hajachaguliwa ud,kwan najua maisha hayako udsm tu bali hata vyuo vingne maisha yapo,ila kuna huyu dogo anajiita mpigamsuli ndo kasababisha haya yote kwa post yake ya kejeli na ndio maana unaona wana udsm nao wamekasrka na kuamua kutoa povu.

nimekusoma perry ila ni kweli mpiga msuli ana kejeli na dhihaka kwa jambo la mwenziwe, aliwah kuiponda na kuita comb ya hkl kuwa ni ya wajinga then leo ana ubishan wa vyuo na div. Mpiga msuli believe humu ndan watu wame perform vizur kuliko ww kwenye masomo. Kejeli na dhihaka sio kigezo muhimu ktk kutafuta taaluma. Jifunze kuish na watu
 
Back
Top Bottom