Thaqaafa Secondary; Imepatwa na nini mbona mambo hovyo?

mimi niko mwanza lakini hiyo shule sijawai sikia.. fafanua ilikuwa ya ngapi kitaifa pindi unahitimu pale.
 

Labda Maruzuku ameondoka coz yeye ndo injini wa hiyo shule
 
Thaqaaaafa secondary, ilikuwa shule nzuri sana enzi hizo!! nilishafundisha hapo Basic Mathematics Preform F1, F1 & F2, I enjoyed enzi hizo nadhani miaka 10 na usheee imepita tangu nifundishe japo kwa muda mfupi lakini nilifundisha na nilifurahia mazingira mazuri na nidhamu pale shuleni.
Nadhani kuna mabadiliko katika uendeshaji, ni mhimu wadau/wahusika wakarekebisha kasoro zilizoko ili malengo yaendelee kama hapo awali.
 
Ahaaaaaaaa, naijua ile shule, viongozi wengi sana wa Afrika wamesoma pale, dah!
 
M i nimekua nikifiki mbele ya hii shule na hata dasa nilo hapa Lena Hotel but be honest naona hii shule ina maendelwo sana tofauti na zamni. sasa hizi wAko na gari ya shule na magorofa yameongezeka tofaufi na zamani
 
Labda Maruzuku ameondoka coz yeye ndo injini wa hiyo shule
Hapana yupo nilimwona kabisa,ila kuna tatizo amelianzisha sijui kama lina mahusiano na kudorora kwa shule,nalo ni kuwa amejaza sasa watoto na ndugu zake katika nafasi za kazi hivyo kuanza kuwa kama shule ya familia yake. Sina uhakika na hilo ila ndivyo nilivyo ambiwa na reliable source mkuu LIKUD
 
Last edited by a moderator:
M i nimekua nikifiki mbele ya hii shule na hata dasa nilo hapa Lena Hotel but be honest naona hii shule ina maendelwo sana tofauti na zamni. sasa hizi wAko na gari ya shule na magorofa yameongezeka tofaufi na zamani
Kwa shule maghorofa sio maendeleo. Hata hivyo hayo maghorofa yalikuwepo miaka hiyo mitatu iliyopita. Tujiulize kwa nini taaluma inashuka kwa kasi ya ajabu na kama nilivyosema mambo yanaenda kiswahiliswahili? Wakati tunasoma kwa kweli sidhani kama mipangilio ya kiofisi ilikuwa na mfanowe kwa shule yeyote.
 
Madam opiyo aliondoka, ndo karudi juzijuzi! S unakumbuka mikiki yake kwenye mambo ya shule?
 

Ni kweli nameweka ndugu zake na watoto wake, yule mtoto wake masnoor sasa hivi ndio Bursar wa pale. Plus ameajiri waalimu wengi wa kiganda ambao hawana uwezo. Anawachukua kwa sababu ni cheap labour
 
Jamani hii shule jamani kwa viboko na kufundisha na heshima enzi zile ilikuwa inaongoza.ila kweli siku hizi taaluma imeshuka sana.
 
mimi niko mwanza lakini hiyo shule sijawai sikia.. fafanua ilikuwa ya ngapi kitaifa pindi unahitimu pale.

na shaka na uwepo wako! Kwa aliye mjini na ana interest na elimu ataijua tu. Kwa ufupi udini umeiharibu, kuna walimu kama Mazara Maganga wamehama sababu ya udini na ahadi hewa
 
na shaka na uwepo wako! Kwa aliye mjini na ana interest na elimu ataijua tu. Kwa ufupi udini umeiharibu, kuna walimu kama Mazara Maganga wamehama sababu ya udini na ahadi hewa

daah sir mazara ayupo tena daah bonge ya ticha wa biology alnfundsha had nkampgia saluti vp sir. Ogweyo tcha wa math bado yupo?!
 
Ni kweli nameweka ndugu zake na watoto wake, yule mtoto wake masnoor sasa hivi ndio Bursar wa pale. Plus ameajiri waalimu wengi wa kiganda ambao hawana uwezo. Anawachukua kwa sababu ni cheap labour
Kama Mansoor ndio Bursar basi ndio sababu mambo kuwa hovyo hovyo maana yule kijana uwezo wake kichwani hauridhishi na ana kiburi sana. Alikuwepo Bursar mmoja simkumbuki jina ila tulikuwa tunamwita Eduado tukimfananisha na baba yake Angelo kwenye tamthilia ya The Promise. Tulikuwa tunamfananisha na Eduado kwa upole,ucheshi,huruma na alikuwa mshauri mzuri sana na mwenye majibu ya Busara sana. Hata wazazi wetu wengi walikuwa wanatupeleka pale kwa ajili ya mvuto wake. Kuhusu walimu wa Uganda,nasikia yule Headmaster ndio anashindikiza waletwe hao walimu baada ya kukosa ajira.
 

Headmaster yupi Luima Sulaiti Kasenene?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…