Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hongera kwa mchuano mkali kule pm mwaya hatimae ukashinda wewe na kumchukua kiwatengu jumla jumla kwa sababu naambiwa hapa kuwa washindani mlikuwa wengi kweli kweli![emoji1]Asanteni wote mlioniwish mungu awabariki
[emoji23] [emoji23] [emoji23]utakuwa unalako mkuu. [emoji1] [emoji1]
ndio naomba mchangonwakomwezi 12?
miss you to mama facebook.umeadimika na wewe pia
Wewe jamaa bwana?[emoji23] [emoji23] [emoji23]Hongera kwa mchuano mkali kule pm mwaya hatimae ukashinda wewe na kumchukua kiwatengu jumla jumla kwa sababu naambiwa hapa kuwa washindani mlikuwa wengi kweli kweli![emoji1]
nikupe venue uje uzamie toa kwanza mchango venue utaikuta kwenye kadi ya mwaliko lohNipe Venue kabisa
Thank you sana[emoji23] [emoji23] hiki kiswanglish kiko powwwaHappy Birthday to you shansarie...
I am happy.
Thank you sana for ur support.
Mungu akuzidishie miaka mingi zaidi ya furaha na mafanikio tele.
I will Marry you soon! [emoji122] [emoji320] [emoji320] [emoji320] [emoji512] [emoji512] ...
Happy Birthday.
Mkuu kwa nia yako utakijua tu,namitakia maisha mazuri ya upendo na utulivu.Tuna chapia chapia hivyo hivyo sijui kiingereza lakini nakipenda!!
Algamdulillah nishasahau pia am fine [emoji120] [emoji120] [emoji120]Ngoja atakuja...
Pole sana kuna kipindi niliambiwa umepata ajali.
Ilikuwaje kwani?
Nipoooo nimerudiiimiss you to mama facebook.umeadimika na wewe pia
Utasubiri sanaBila kuweka picha yake hapa wewe utakuwa ni mnafiki mkuu![emoji17]
Acha acheze nao tu mwisho wa siku anarudi kwangu. Mi ilimradi asilale njeNa wale ambao huwa unacheza nao pm deile ni akina nani???[emoji30] [emoji30] [emoji30]
Afu hatukuanzia pm alokwambia kakudanganyaHongera kwa mchuano mkali kule pm mwaya hatimae ukashinda wewe na kumchukua kiwatengu jumla jumla kwa sababu naambiwa hapa kuwa washindani mlikuwa wengi kweli kweli![emoji1]