Thawabu niliyoipata kwa kuepuka kuzini na wanafunzi

Hivi binti wa form two si ni katoto sana! Sidhani hatakama kakikaa uchi kunaweza nishtua. Sanasana nitakachapa tuu viboko kakavae nguo. Labda hao wa high school kidogo
Hahahahaaaaa. Umenikumbusha kituko kimoja hivi. "Mwalimu usimuone mwanangu huu mwili lakini ni mdogo tu,huyu wa juzi tu mwalimu". Kusema kweli kuna hofu kuu imetanda. Yanayotendeka yanawafanya wazazi wasituamini hasa sisi walimu vijana. Kazi ipo.

Sent from my VF-795 using JamiiForums mobile app
 
Ule wanafunzi usile hiyo skendo ya kutafuna wanafunzi itakuandama tu.

Sikia bro kama unajielewa enough fanya mishe za uwekezaji na ukasome uondokane na huko.
 
Hakuna wakat ambao mwanamke huvutia zaid kama kipind cha miaka 15-20,kwa kwel walimu wa kiume mnamtihani
 
Ule wanafunzi usile hiyo skendo ya kutafuna wanafunzi itakuandama tu.

Sikia bro kama unajielewa enough fanya mishe za uwekezaji na ukasome uondokane na huko.
Skendo za kusingiziwa hazijawahi kunitetemesha. Mungu halali wala hasinzii.Mtu akiamua jambo lake huna namna ya kumzuia.

Sent from my VF-795 using JamiiForums mobile app
 
Hongera Mwalimu!!
Hofu ya Mungu iendelee kuambatana nawewe siku zote!!
Neema aliyokukirimia Mungu usiipoteze,endelea kumnyenyekea zaidi🙌🙌
 
Hongera Mwalimu!!
Hofu ya Mungu iendelee kuambatana nawewe siku zote!!
Neema aliyokukirimia Mungu usiipoteze,endelea kumnyenyekea zaidi[emoji119][emoji119]
Asante sana,nafurahi ninapokutana na maoni chanya kutoka kwa watu chanya kama wewe. Nitazingatia sana ushauri wako kwa sababu unyenyekevu ndio 'placenta' yangu. Ndio organ muhimu ya kupokea virutubisho muhimu kutoka kwa Mungu ili nizidi kukua zaidi kiroho.

Sent from my VF-795 using JamiiForums mobile app
 
Hongera sana Mkuu, na hiyo sasa ndio maana kamili ya Mwanaume Rijali.
 
Hongera sana Mkuu, na hiyo sasa ndio maana kamili ya Mwanaume Rijali.
Hahahahaaaaa. Wapo waliokuwa wananisema eti mi 'mgonjwa' wakiwemo walimu wenzangu wa kiume. Tena wapo waliokuwa wanaonesha chuki yao dhidi yangu hadharani. Ndio kwanza nikawa nakanyaga 'accelerator'. Kazi kazi.

Sent from my VF-795 using JamiiForums mobile app
 
Achana nao na waepuke sana watu wa aina hiyo. Endelea na msimamo wako.
 
Kuna jamaa yangu flani alikuwa kamaliza six akaamua piga temple shule flani ya mabinti mkoani kagera inaitwa rugabwa, yani aliacha baada ya wiki kwa mitego aliyokumbana nayo.
Wanafunzi mara wafungue vishikizo vya mashati mpaka maziwa yabaki nje eti wanadai joto.
Mara wakae mikao ya vyupi kuonekana. Akaona heri aache
 
Safi sana ticha, kama walimu wote wangekua kama wewe hakika elimu ingesonga mbele zaidi.

Japo kwangu mimi kiukweli ingekua ni ngumu kukwepa mbususu iliyojileta. Hongera ticha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…