Thawabu niliyoipata kwa kuepuka kuzini na wanafunzi

Hahahahaaaaa. Angewaambia "hivi ninyi mnawezaje kunikalia uchi mimi baba yenu mzazi?".

Sent from my VF-795 using JamiiForums mobile app
 
Safi sana ticha, kama walimu wote wangekua kama wewe hakika elimu ingesonga mbele zaidi.

Japo kwangu mimi kiukweli ingekua ni ngumu kukwepa mbususu iliyojileta. Hongera ticha.
Hata mimi nina mwili wenye asili kama yako. Lakini huwa napiga hesabu moja tu. Nitakachokipoteza ni kikubwa kuliko hiyo inayoonekana 'raha'.

Sent from my VF-795 using JamiiForums mobile app
 
Walikuwa wanaona kama vile wanalingana
Haijalishi yeye angekomaa kuwafuta hiyo notion kwa kuwafanyia 'high level psychological intimidation". Wakati wao wanamuona ni 'mpenzi wao' yeye angekomaa kuwaona, kuwaita plus kuwatreat kama watoto wake wa kuwazaa. Consistency katika hili ingemponya. Uzuri huwa wanasimuliana kwamba yule Mwalimu hata ujishongondoe vipi utajichoresha tu au yule 'maharage ya mbeya,maji mara moja tu'. Tabia tunazowaonesha ni mwandiko tosha kwao hivyo wanafunzi wanatusoma ile ki TISS-TISS. Unakuta wanafunzi wana mafaili ya tabia za walimu kama wanashinda nao vile.

Sent from my VF-795 using JamiiForums mobile app
 
Hakuwa mwalimu hivyo hayo mambo hakuwa anayajua pale alienda tu piga tempo akisikilizia kwenda chuo
 
Tatizo ya hiv vitoto ukila kamoja tu umeisha haribu kila kitu, kataenda kusimlia wenzake na wenzake nao watataka tu uwale.
Yan sijui huwa vinaoneana wivu
 
Tatizo ya hiv vitoto ukila kamoja tu umeisha haribu kila kitu, kataenda kusimlia wenzake na wenzake nao watataka tu uwale.
Yan sijui huwa vinaoneana wivu
Hahahahaaaaa. Hao ni wa kuwasaidia tu. Wanakutana na mengi kwenye dunia hii ya utandawazi ukijumlisha na balehe ndio kabisaa. Kuna mabinti waliwahi kuzozana darasani "huyu wangu,huyu wangu" huyo wanaemgombea mwenyewe muda huo ndio anawafundisha ubaoni. Back benchers wengi wana ajenda nyeusi.

Sent from my VF-795 using JamiiForums mobile app
 
Hongera mwalimu.
 
Kwa hiyo wewe unauwezo wa kufanya sex kwa interval ipi!?
 
Kwa hiyo wewe unauwezo wa kufanya sex kwa interval ipi!?
Since I separated with my former partner by distance(her working place being distant from mine and she started misbehaving) Its been two years now I never touched any woman just waiting for somebody to cover her place soon. So it depends on the circumstances I face,though, I don't sleep with whoever woman that I don't have life engagement and commitment with. No womanizing!

Sent from my VF-795 using JamiiForums mobile app
 
Umeonesha udhaifu mkubwa mno......huwa tunawastua kijoti,kisha unasepa usiweke turubai.....wakimaliza shule huwa hawatakupa salammu......mtoto WA mwenzio mkubwa mwenzio......usipopiga utapigiwa Tu,hakuna namna
 
Mtoto wa kike mwanafunzi anapata wapi ujasiri wa kujirahisisha kwa mwalimu wake?!?..
Sitaki kuhukumu ila nina mashaka na unajipresent kwao..


Sent from my SM-A405FN using JamiiForums mobile app
Kuwa mwalimu ndo utajua. Kuna mwalimu alitaka kubakwa na wanafunzi wa kike, yasikie tu! Tena hiyo ya wanafunzi wa kike kujiachia wanayo sana. Wengine anategesha mwalimu yuko peke yake ofisini ndo anakuja kujifanya hajaelewa au kujiulizisha jambo!

Wanafunzi wengine wa kike wanakufuata hadi nyumbani kwako! Tena wakati mwingine binti mmoja anakuja kwako. Ni mzuri haswa mtoto kaumbika! Nasema hivi niliwahi kufundisha shule na vyuo. Acha tu unahitaji Neema ya Mungu.
Hongera mwalimu kwa kukwepa hayo yote!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…