The 1st 2013 Kenyan Presidential Debate

If i was to cast my vote, before the debate was Raila, but now Keneth is my favorite!!
 
Kwa huo wekundu wa macho!? Ndio maana vikongwe wanauawa aisee (kimbuka usilete 'hearsay')


Mkuu hiyo siyo hearsay. Niliambiwa na ndugu yake na hata sasa nimeongea naye kwa simu tukifuatilia mdahalo huu. Huyo jamaa anaitwa Maina na yupo Wizara ya Fedha ya Kenya
 
If i was to cast my vote, before the debate was Raila, but now Keneth is my favorite!!

welcome to our world. Umeanza kunikubalia kenneth wangu eeh? Brainy is sexy, lol
Kongosho, unapika wanzuki wapi na wewe?
 
Last edited by a moderator:
Mkuu hao mimi nawamudu vizuri sana. Naujua udhaifu wao. Hata kuimbisha kwao ni issue wao hutumia mibahasha ili iimbe kwa niaba yao (nadhani umenipata hapo).

Mkuu nikiwawakilisha wahandisi nitakukatalia katakata. Hao jamaa hawatumii bahasha na hawana maneno mingiii kama wanasiasa. Ni watu wako straight to the point, akipigwa chini anainuka anafuta vumbi anasonga mbele!
 
huyu Uhuru Kenyata sioni kama ana substance kwen concluding remarks zake,,,,
 
I like Keneth confidence ila sidhani kama ana jipya, akiwa KFF alivurunda je kwenye nchi ataweza??
If i was to cast my vote, before the debate was Raila, but now Keneth is my favorite!!
 
Mkuu nikiwawakilisha wahandisi nitakukatalia katakata. Hao jamaa hawatumii bahasha na hawana maneno mingiii kama wanasiasa. Ni watu wako straight to the point, akipigwa chini anainuka anafuta vumbi anasonga mbele!

Mkuu Mwita Maranya jamaa wanatumia bahasha. Maneno ya ngwini hawana kabisa.
 
Last edited by a moderator:
"Dont vote for me, vote for the best".....Dida uyo...naona anafahamu nafasi yake tayari""
 
On optics: Peter Kenneth
Substance: Raila Odinga
Wit: Mohamed Duba Diba Dida
Surprise Performance: Karua
 
labda wahandisi wa Ulaya lakini sio wa Bongo, hakikisha/batilisha kauli yangu kwa kuangalia kazi zao
Mkuu nikiwawakilisha wahandisi nitakukatalia katakata. Hao jamaa hawatumii bahasha na hawana maneno mingiii kama wanasiasa. Ni watu wako straight to the point, akipigwa chini anainuka anafuta vumbi anasonga mbele!
 
Imeisha tusubiri round ya pili. Sasa turudi kwenye siasa zetu
 
Are there more Kenyans fluent in Kiswahili or English? Does the use of English language in the debate marginalize a significant % of the population?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…