George Betram
JF-Expert Member
- Oct 10, 2015
- 4,672
- 6,272
Asante Chief...Hajavunja contract, alikuwa injured ikiwa ni msimu ambao alikuwa anaenda kuwa free agent.
Kwa hiyo July 2018 he was unrestricted free agent, kumbuka alikuwa na majeruhi ambayo kila mmoja alikuwa anaogopa kumchukua.
GSWs walimpa mkataba wa mwaka mmoja wa 5.3 M iko categorized kwenye Medium Level Exception (MLE)
View attachment 1121845
Maana hii kazi ya kuandika huku hapo hapo uzame Google kumletea MTU ushahidi wala sio ndogo..!