Duh eti umwache mtu aliyewezesha timu yake kutwaa taji, umchukue mtu ambaye timu yake imefungwa na kumpa U-MVP! Kwa lipi sasa? Kwa kuwezesha timu yake kushindwa? Mbona hapo U-MVP utakuwa umekosa maana kabisa!
Ni kweli
Jerome Alan West is
the only player in NBA history to be named Finals MVP despite being on the losing team (1969) but this was a very controversial decision. Kitendo hicho hakikuzingatia mantiki na kilifanya U-MVP kukosa maana.
Hiyo ya LeBron haingewezekana katika ulimwengu wa sasa hivi na ingekuwa ni dhihaka kwa timu iliyotwaa kombe. Ni kama kusema, pamoja na kutwaa kombe wachezaji wenu walikuwa wa hovyo na hawakustahili kushinda, really? Ni sawa na kutwa nzima mtu kushinda unafanya jitihada za kusukuma ukuta huku mwisho wa siku ukuta bado uko pale pale halafu unazawadiwa kwa bidii yako, really?
Ha ha haaa, someni kwanza legacy fupi ya
Wardell Stephen "Steph" Curry II
Curry is considered by many to be
the greatest shooter in NBA history. He is credited with
revolutionizing the game of basketball by inspiring basketball teams, from high school to the NBA,
to regularly employ the three-point shot. Analysts have referred to him as
"the Michael Jordan of the three-point era," stating that he did for the
three-point shot what
Jordan did for the
dunk.
The Guardian's Robert O'Connell cites Curry's February 27, 2013 game against the New York Knicks, in which
he made 11 of 13 shots from behind the arc en route for a 54-point performance, as the
start of the three-point era. The era has been referred to as
"The Steph Effect" and
"the NBA's Three-Point Revolution."
Before Curry, shooting behind the
three-point line was more of a novelty, an occasional way of scoring.
Catch and shoot players existed, but
Curry's success inspired the league to abandon physical play around the basket and to embrace a pace and space and three-point shooting style.
The increase in three-point shooting is partly due to NBA teams incorporating it in
their attempts to defeat the Warriors or copy the Warriors style of play, and due to
young people wanting to imitate Curry's shooting range. Although this has led to players becoming good at or improving their three-point shot, it has also set unrealistic standards because
Curry's range is unique!