AFRICAN PATRIOT
Member
- Jul 27, 2019
- 5
- 2
THE 2022 POLITICS
Mimi ni mfuatiliaji mzuri sana wa Siasa za Kenya hususani Uhuru, Raila na Hustler mwenyewe Ruto. Ila baada ya Handshake Uhuru amemwacha Ruto sasa wako na Raila Odinga (Baba).
Swali langu kwa wachambuzi wa masuala ya kisiasa Africa Mashariki, ni ipi hatima ya Dp Ruto come 2022? Je Wakenya watamchagua kweli au ni Gideon Moi?
Mimi ni mfuatiliaji mzuri sana wa Siasa za Kenya hususani Uhuru, Raila na Hustler mwenyewe Ruto. Ila baada ya Handshake Uhuru amemwacha Ruto sasa wako na Raila Odinga (Baba).
Swali langu kwa wachambuzi wa masuala ya kisiasa Africa Mashariki, ni ipi hatima ya Dp Ruto come 2022? Je Wakenya watamchagua kweli au ni Gideon Moi?