The 2nd 2013 Kenyan Presidential Debate.

The 2nd 2013 Kenyan Presidential Debate.

Kwa TZ narudia tena wanaoweza kuendesha midaharo wanaweza kuwa ni Jenerali Ulimwengu na Tido Mhando,Prof.Shivji ana munkari anaweza kutia ndimu kwenye supu,kijana Pasco naye kaegemea sana Monduli.Dada Rose Mwakitwange yalimshinda.Kibonde ataleta mipasho ya Ikulu oyeee

Mkuu mfianchi hao wawili pamoja na mtangazaji mmoja wa zamani kutoka Radio Tanzania aitwae Edda Sanga ninaamini ndo wanaoweza kuendesha mdahalo.. Hawa wamiliki wa vyombo vya habari wafike wakati waone umuhimu wa kuwekeza ili wawapate waandishi na watangazaji wa televisheni wenye upeo wa kimataifa.. Wawasaidie kupata exposure katika fani yao kwa faida ya nchi.. Tulionao wamekosa sifa na weledi kwa kuwa wengi wao wameingia kwenye tasnia ya habari kimakosa..
 
Last edited by a moderator:
JE Tz maendeleo kuhusu katiba vipi au inahujumiwa na vikundi vinavyosisitiza kushikilia urithi wa nyerere?

demokrasia inazidi kukua kenya na kwa TZ kabla ya viongozi kutoka hadharani kuzungumzia maswala yanayowagusa kama ufisadi kwa wananchi pengine miujiza itendeke. itakuwa vigumu serikali ilioko ipige mikakati tunasema swift and radical changes.

Wakati huu kikwete anaweza acha urithi atakaokumbukwa nao serikalini kama kugeuza katiba na marekebisho kwenye mahakama. lakini licha ya haya najua kutazuka mapingano makali dhidi ya mabadiliko bungeni na kutoka familia fisadi akiamua kuchukua hii nafasi
 
JE Tz maendeleo kuhusu katiba vipi au inahujumiwa na vikundi vinavyosisitiza kushikilia urithi wa nyerere?

demokrasia inazidi kukua kenya na kwa TZ kabla ya viongozi kutoka hadharani kuzungumzia maswala yanayowagusa kama ufisadi kwa wananchi pengine miujiza itendeke. itakuwa vigumu serikali ilioko ipige mikakati tunasema swift and radical changes.

Wakati huu kikwete anaweza acha urithi atakaokumbukwa nao serikalini kama kugeuza katiba na marekebisho kwenye mahakama. lakini licha ya haya najua kutazuka mapingano makali dhidi ya mabadiliko bungeni na kutoka familia fisadi akiamua kuchukua hii nafasi
mtu yeyote mwenye taaluma ya habari anaweza kuendesha mdahalo maana maswali huwa wanapewa yaani hutungwa na wachumi, lawyers pia social and political scientists! Yaani institutions kama Tanganyka Law Society, LHRC, Media Council of Tanzania and other institutes
 
Dida i quit the goverment because of funny salaries and funny working conditions. I am wondering kwani Dida aliwahi kuajiriwa na GOT?
 
mtu yeyote mwenye taaluma ya habari anaweza kuendesha mdahalo maana maswali huwa wanapewa yaani hutungwa na wachumi, lawyers pia social and political scientists! Yaani institutions kama Tanganyka Law Society, LHRC, Media Council of Tanzania and other institutes

hizo ni forum, nasema debate ambazo kila mwananchi anahudhuria na kutazama sio wenye taaluma pekee. nadra tz
 
hizo ni forum, nasema debate ambazo kila mwananchi anahudhuria na kutazama sio wenye taaluma pekee. nadra tz

Angemtaja hata mmoja wa hao waandishi mwenye taaluma ya uandishi wa habari ambae anaweza kuendesha mdahalo hapa Tz.. Sekta ya habari imevamiwa na ndo maana kupata mwenye weledi unaotakiwa ni kazi kubwa..
 
Kwa TZ narudia tena wanaoweza kuendesha midaharo wanaweza kuwa ni Jenerali Ulimwengu na Tido Mhando,Prof.Shivji ana munkari anaweza kutia ndimu kwenye supu,kijana Pasco naye kaegemea sana Monduli.Dada Rose Mwakitwange yalimshinda.Kibonde ataleta mipasho ya Ikulu oyeee
mtu yeyote mwenye taaluma ya habari anaweza kuendesha mdahalo maana maswali huwa wanapewa yaani hutungwa na wachumi, lawyers pia social and political scientists! Yaani institutions kama Tanganyka Law Society, LHRC, Media Council of Tanzania and other institutes! je ushamfikiria Taji Liundi au una-assume tu watu hawawezi kufanya yale kama yaliyofanywa kule kuna watu wanatema yai na wako smart and sharp upstairs hata mimi sikifikirii kama nitashindwa kuendesha mdahalo ikiwa naendesha seminars n.k.
 
Dida i quit the goverment because of funny salaries and funny working conditions. I am wondering kwani Dida aliwahi kuajiriwa na GOT?

Ndiyo, Dida alikuwa mwajiriwa wa serikali. Yani wakati ikiwa serikalini alifanya kazi kama mwalimu, ndiyo maana leo anajisikia fahari kuitwa mwalimu Dida.
 
Hili tatizo la Land in Kenya is very synonyms to tatizo la gun control in USA. Yaani if you attempt to disucss about it, people flood to the shops to buy more guns before gun control starts. Nadhani US hawajue hata waanzie wapi, is like suicide. Kenya wanayo kazi!!
 
Based on the 2nd debate, I would have voted for Musalia Mudavad if I "were" a legitimate Kenyan voter, come next Monday.

The candidate seems to be well settled to handle the post.
 
Angemtaja hata mmoja wa hao waandishi mwenye taaluma ya uandishi wa habari ambae anaweza kuendesha mdahalo hapa Tz.. Sekta ya habari imevamiwa na ndo maana kupata mwenye weledi unaotakiwa ni kazi kubwa..

Yeye kantajia kwa ujumla TLS, LHRC yaonekana Hao professionals wamezama sana kwenye taaluma. Niliuliza swali la katiba, Tz imefikia wapi mpaka sasa. Mikakati ipo?
 
13166_585758968119327_1123617805_n.jpg
 
Back
Top Bottom