THE ACCIDENTAL BILLIONAIRES- The founding of facebook: a tale of money,genius and betrayal

THE ACCIDENTAL BILLIONAIRES- The founding of facebook: a tale of money,genius and betrayal

s̸i̸k̸u̸ n̸y̸i̸n̸g̸i̸n̸e̸ u̸w̸e̸ u̸n̸a̸f̸u̸p̸i̸s̸h̸a̸g̸a̸ h̸a̸b̸a̸r̸i̸ b̸h̸n̸!!! y̸a̸a̸n̸ m̸p̸a̸k̸a̸ m̸a̸c̸h̸o̸ y̸a̸n̸a̸u̸m̸a̸
 
[QUOTE="Stand alone, post: 20297294, sikuwahi kuisoma hii stori its very inspirational
hasa kwa mimi I dreamed b4 kuwa programmer and yet I'll be a best coder by tomorrow and the day after tomorow
 
story ni nzuri na nimeipenda kuna kitu cha kujifunza na tunasubiri zingine tena mkuu
ila nakusihi kuwa strong na simamia unachoamini, wenye mapovu usiwasikilize humu na wapo najua wanakukera
 
Story yetu ndo imefikia mwisho hapo

Shukrani kwa kuisupport, kwa aliesoma na kuandika comment ya maana, tupo pamoja, wote japo sijaweza mtag mtu kutokana na nilivyokuwa nikiandika lakini naimani story itaweza kuonekana
Nilipoisoma story hii niliipenda hivyo nikatamani kushare na wana JF nikijua kuwa wapo watakao kuwa wakiifahamu lakini sio wote watakuwa wakiifahamu.
Ndio, kiasi flani inapoteza muda katika kuandika na kwa kuzingatia kuwa original story inampangilio wa ajabu kidogo hivyo katika lugha yetu nilijaribu ili angalau hata kidogo iweze kuleta maana huku nikijaribu kuacha baadhi ya vitu na vitu vya muhimu vyote nikijaribu kuviweka, lakini Yeah, hii yote ni kwa sababu napenda mambo ya uandishi na ndo maana nikaamua kujitolea kuandika story hii.

Shukran.
ila mkuu kwenye stori kama vile facebook ilianza kuwa bora wakat miaka ya juzjuz fb ilikuwa haina hata xehem ya ku2ma mesej private zaid ya coment au ni kwa huku bongo tu
 
Back
Top Bottom