Story yetu ndo imefikia mwisho hapo
Shukrani kwa kuisupport, kwa aliesoma na kuandika comment ya maana, tupo pamoja, wote japo sijaweza mtag mtu kutokana na nilivyokuwa nikiandika lakini naimani story itaweza kuonekana
Nilipoisoma story hii niliipenda hivyo nikatamani kushare na wana JF nikijua kuwa wapo watakao kuwa wakiifahamu lakini sio wote watakuwa wakiifahamu.
Ndio, kiasi flani inapoteza muda katika kuandika na kwa kuzingatia kuwa original story inampangilio wa ajabu kidogo hivyo katika lugha yetu nilijaribu ili angalau hata kidogo iweze kuleta maana huku nikijaribu kuacha baadhi ya vitu na vitu vya muhimu vyote nikijaribu kuviweka, lakini Yeah, hii yote ni kwa sababu napenda mambo ya uandishi na ndo maana nikaamua kujitolea kuandika story hii.
Shukran.