The Art of the Deal: Trump kuanzisha chama chake ni akili kubwa na pigo kwa Republicans

The Art of the Deal: Trump kuanzisha chama chake ni akili kubwa na pigo kwa Republicans

Slow Pork Joe

New Member
Joined
Jan 22, 2021
Posts
2
Reaction score
11
Baada ya vuta nikuvute kwa uchaguzi wa Marekani ni dhahiri kwamba tumeona Trump hakupewa ushirikiano na Chama chake cha Republicans, Sio Hivyo tu kwani tangu mwaka 1016 hadi 2018 chama hicho kilipokuwa kimeshukilia senate na house bado walikuwa ni mzigo kwa Trump.

Trump kaamua kuunda chama chake na kwa hali ilivvyo sioni kama atapata wakati mgumu kwa sababu Democrats watasapoti sana hiki kitu ili Republicans ipungue nguvu.

Ni Wamarekani zaidi ya milioni 80 wapo nyuma ya Trump, Huu ni mtaji tosha kwa Trump kuanzisha chama cha tatu Marekani chenye nguvu,

Kwa upande mwengine Biden anafanya mambo kwa pupa mno, Ana mpango wa kuruhusu maharamia wengi kuwa raia wa marekani kitu ambacho raia wa marekani kimewamiza mno, upande mwengine karuhusu wanaume waliobadili jinsia kuwa za kike waweza kuwa na haki za wanawake ikiwemo kushiriki michezo kitu ambacho kinapingwa vikali.
 
Nilishaletaga Uzi kama huu humu

 
Trump wanaenda kumu impeach kwa mara ya pili then hataruhusiwa tena kugombea urais wa US,ndio imetoka hio.
Hawawezi hata Joe Biden jana kakubali haiwezekani kwasababu hawatakuwa na kura za kutosha. Democrats wanahitaji kura za senator 17 wa Republicans hili wafanikiwe.

Trump atarudi urais 2024-2028
 
Trump wanaenda kumu impeach kwa mara ya pili then hataruhusiwa tena kugombea urais wa US,ndio imetoka hio.
Nguvu ya mamba ni maji. Yale yale ya Lowassa na CCM.

Trump nje ya Republican hana jipya. Tena bila support ya hao Republican wala hata miaka 4 asingemaliza.

Trump hana media wala technology yoyote. Ataishia tu kuwa kama Kanye West.
 
Hawawezi hata Joe Biden jana kakubali haiwezekani kwasababu hawatakuwa na kura za kutosha. Democrats wanahitaji kura za senator 17 wa Republicans hili wafanikiwe.

Trump atarudi urais 2024-2028

Nitakukumbusha wkt anakua impeached
 
Nguvu ya mamba ni maji. Yale yale ya Lowassa na CCM.

Trump nje ya Republican hana jipya. Tena bila support ya hao Republican wala hata miaka 4 asingemaliza.

Trump hana media wala technology yoyote. Ataishia tu kuwa kama Kanye West.

Hahahah huyo ndio ameishia hapo.
 
Baada ya vuta nikuvute kwa uchaguzi wa Marekani ni dhahiri kwamba tumeona Trump hakupewa ushirikiano na Chama chake cha Republicans, Sio Hivyo tu kwani tangu mwaka 1016 hadi 2018 chama hicho kilipokuwa kimeshukilia senate na house bado walikuwa ni mzigo kwa Trump
Una papara sana weye
 
Baada ya vuta nikuvute kwa uchaguzi wa Marekani ni dhahiri kwamba tumeona Trump hakupewa ushirikiano na Chama chake cha Republicans, Sio Hivyo tu kwani tangu mwaka 1016 hadi 2018 chama hicho kilipokuwa kimeshukilia senate na house bado walikuwa ni mzigo kwa Trump.

Trump kaamua kuunda chama chake na kwa hali ilivvyo sioni kama atapata wakati mgumu kwa sababu Democrats watasapoti sana hiki kitu ili Republicans ipungue nguvu.

Ni Wamarekani zaidi ya milioni 80 wapo nyuma ya Trump, Huu ni mtaji tosha kwa Trump kuanzisha chama cha tatu Marekani chenye nguvu,

Kwa upande mwengine Biden anafanya mambo kwa pupa mno, Ana mpango wa kuruhusu maharamia wengi kuwa raia wa marekani kitu ambacho raia wa marekani kimewamiza mno, upande mwengine karuhusu wanaume waliobadili jinsia kuwa za kike waweza kuwa na haki za wanawake ikiwemo kushiriki michezo kitu ambacho kinapingwa vikali.

Hizo ni itikadi zake. Ndivyo biden alivyo. Ana akina bill gt na mailluminat wengine nyuma yake. Wanataka dunia yote iwe ya kishetani. Utaona namna matendo maovu yatakavyopewa budget kubwa na vipaumbele. kaanza na mashoga, mapenzi ya jinsia moja ili hata maejshi yawe na mashoga tu.

Wamarekani waliambiwa mapema lakini sikio la kufa halisikii dawa. Acha wayaone. Huu ni mwanzo tu, wasubiri zaidi mengi makubwa namagumu zaidi yanakuja.
 
Nilishaletaga Uzi kama huu humu
Si ndio maana nili coment.. kuwa utakuwa nabii Jon wewe
 
Hawawezi hata Joe Biden jana kakubali haiwezekani kwasababu hawatakuwa na kura za kutosha. Democrats wanahitaji kura za senator 17 wa Republicans hili wafanikiwe.

Trump atarudi urais 2024-2028
Trump atarudi kuwa rais 2024. Yeah right.
Aanzishe chama instantly kikubalike instantly apate kura instantly..
Wkt huo republican na democrats watakuwa wamesinzia sio? Goodluck with that.
 
Baada ya vuta nikuvute kwa uchaguzi wa Marekani ni dhahiri kwamba tumeona Trump hakupewa ushirikiano na Chama chake cha Republicans, Sio Hivyo tu kwani tangu mwaka 1016 hadi 2018 chama hicho kilipokuwa kimeshukilia senate na house bado walikuwa ni mzigo kwa Trump.

Trump kaamua kuunda chama chake na kwa hali ilivvyo sioni kama atapata wakati mgumu kwa sababu Democrats watasapoti sana hiki kitu ili Republicans ipungue nguvu.

Ni Wamarekani zaidi ya milioni 80 wapo nyuma ya Trump, Huu ni mtaji tosha kwa Trump kuanzisha chama cha tatu Marekani chenye nguvu,

Kwa upande mwengine Biden anafanya mambo kwa pupa mno, Ana mpango wa kuruhusu maharamia wengi kuwa raia wa marekani kitu ambacho raia wa marekani kimewamiza mno, upande mwengine karuhusu wanaume waliobadili jinsia kuwa za kike waweza kuwa na haki za wanawake ikiwemo kushiriki michezo kitu ambacho kinapingwa vikali.
Ww haujui historia ya Trump. Trump maisha yake anaanzisha vitu lakini mwisho vinafeli sana. Hakuna kitu kilichosimama. Hata assets na investments zake zimepoteza sana hela in recent years. Acheni kumsifia mtu msiyejua historia yake vizuri. Hata hicho chama HATAWEZA. Au amefikiria kufungua social media ya kupambana na Twitter waliomfungia. Hio nayo HATAWEZA.
 
Hizo ni itikadi zake. Ndivyo biden alivyo. Ana akina bill gt na mailluminat wengine nyuma yake. Wanataka dunia yote iwe ya kishetani. Utaona namna matendo maovu yatakavyopewa budget kubwa na vipaumbele. kaanza na mashoga, mapenzi ya jinsia moja ili hata maejshi yawe na mashoga tu.

Wamarekani waliambiwa mapema lakini sikio la kufa halisikii dawa. Acha wayaone. Huu ni mwanzo tu, wasubiri zaidi mengi makubwa namagumu zaidi yanakuja.
Yaani wazee wa conspiracy theory,biden ana hiv biden ana vile. Mtu hana hata mwezi kwenye urais?

Sa sikiliza kwanza ulichoandika hapo ninstory za kusadikika why?
Sababu kama ni ushoga.. wamarekani wenyewebhawana shida nao.. huo ushoga hauja wahi kuwashusha kiuchumi, hawajawahi kufilisika sababu ya ushoga.. america wanachoangalia ni qualification za mtu.. haijalishi ana jinsia iko kichwani.. kama yuko qualified anapewa nafasi.

Pili trump huo ushoga alifanya nn kuzuia? Kaukuta na kauacha. Hajawahi hata kupeleka mshwaada wa kupinga ushoga bungeni.

Umeandika as if ww ni member wa senate. Nani alikwambia asilimia kubwa ya budget ya america inakwenda kwa mashoga?
America inaspend largely kwenye military.. science and technology.. viwanda.. afya.

Hayo mengine ni ziada.

Mwisho tuwaache america kama walivyo. Wao kama ushoga hauwaathiri .. sis tunapiga kelele ya nini?

Tubaki na tamaduni zetu tulinde tamaduni zetu.. za kwao tuwaachie wenyewe.
 
Baada ya vuta nikuvute kwa uchaguzi wa Marekani ni dhahiri kwamba tumeona Trump hakupewa ushirikiano na Chama chake cha Republicans, Sio Hivyo tu kwani tangu mwaka 1016 hadi 2018 chama hicho kilipokuwa kimeshukilia senate na house bado walikuwa ni mzigo kwa Trump.

Trump kaamua kuunda chama chake na kwa hali ilivvyo sioni kama atapata wakati mgumu kwa sababu Democrats watasapoti sana hiki kitu ili Republicans ipungue nguvu.

Ni Wamarekani zaidi ya milioni 80 wapo nyuma ya Trump, Huu ni mtaji tosha kwa Trump kuanzisha chama cha tatu Marekani chenye nguvu,

Kwa upande mwengine Biden anafanya mambo kwa pupa mno, Ana mpango wa kuruhusu maharamia wengi kuwa raia wa marekani kitu ambacho raia wa marekani kimewamiza mno, upande mwengine karuhusu wanaume waliobadili jinsia kuwa za kike waweza kuwa na haki za wanawake ikiwemo kushiriki michezo kitu ambacho kinapingwa vikali.
Eti raia wengi wa marekani kimewaumiza. Ww unajuaje? Unafikiri raia wa USA wanataka hizo kazi immigrants wanazifanya? Ni propaganda tu. USA bila immmigrants hakuna nchi. Acheni kushabikia shabikia tu vitu msivyovijua.
 
Back
Top Bottom