Sasa Mungu anapata faida gani mnaposhinda makanisani na misikitini kumwabaudu1. Kuishi ni pale tu unapokuwa hai
2. Kwa kuwa tunaambiwa Mungu ndie aliyetuumba yeye anasema ametuumba ili tumuabudu, tuzaane na mwisho tutarudi kwake
3. Tumewekewa ukomo duniani tunatoka kutoka sehemu moja kwenda kwengine kupitia kifo
Nakaziahakuna mungu,kuna MUUMBA
binadamu kamtengeneza mungu kwa kumfanya kama an individual
o forget it,religions created god so that god can create them...sounds confusing huh?
Mpenda sifa hiyo ni kweli hata wewe wanao unapenda wakutukuze au sio 😳 😳Sasa Mungu anapata faida gani mnaposhinda makanisani na misikitini kumwabaudu
Au ni mpenda sifa tu ?
Shida ni Mungu mnayemhubiri kuwa na sifa za kibinadamu_hilo TuMpenda sifa hiyo ni kweli hata wewe wanao unapenda wakutukuze au sio 😳 😳
Kwanza tafasiri Mujarab ya neno Atheist halafu tuendelee..Hivi mtanijibu vipi maswali haya Atehists !
1. Maisha au kuishi ni nini ?
2. Je ni yapi malengo ya sisi kushi au kuwepo duniani ?
3. Kwanini tunakufa ?
Hajaelewa swali huyoKwan we atheist hadi ujibu
Ahahahahhakuishi ni kuiona kesho
kifo huja pale pumzi inapojenga bifu na pua
Kazi ya kuelezea maana ya tamko Atheist nimewaachia wenyewe wanao jinasibisha kwalo watakuja kuelezea.Kwanza tafasiri Mujarab ya neno Atheist halafu tuendelee..
Embu niambie ni sifa zipi ambazo anazo Mila muumba ni kama za binadamu au ni sifa za binadamu.Shida ni Mungu mnayemhubiri kuwa na sifa za kibinadamu_hilo Tu
AhahhahhaSasa Mungu anapata faida gani mnaposhinda makanisani na misikitini kumwabaudu
Au ni mpenda sifa tu ?
Usitupange mungu hayupo.Huwaga bado siamini kama hii Dunia ina hao watu wanaojiita Atheists, huwa naamni kuna wapagani tuu,
Ingawa utafiti wangu SI RASMI ila naamini kwamba, binadamu anaye "Jiaminisha" kwamba haamini uwepo wa MUNGU ni yule ambaye hajafikia tamati /ukomo au kilele cha mwisho wa uwezo wake kama binadamu
Wazungu huwa wanatumia, "No way out" Na "Point of no return" kuashiria ukomo wa uwezo wa ki binadamu, hapo huwa naamini kuna fikra huja kichwani kwamba kuna mtu/kiumbe/roho au uwezo somewhere anaweza kukutoa hapo ulipo kukuonesha point of return/way out (Wewe kama wewe)
I believe hiyo fikra ni kwa kila binadamu, regardless umewahi kumskia MUNGU au laa!!
"Anayejiamisha" Absence ya MUNGU, wengi wao huchanganywa na deliverance ya mafundisho ya dini, pale unapoanza ku reason:
Tufanye mfano mmoja: Waadzabe ni jamii ya watu ambao hawana fundisho la MUNGU mmoja (sina uhakika, nimetumia kigezo cha ustaarabu wao) na hawajawahi kusikia suala la MUNGU
Huyu huyu Mu adzabe, anapofanya jambo likafika ukomo wake, aidha yu karibu na kifo na anataka kuepuka, je Unadhani haamini kuna nguvu nje yake inayoweza kumtoa na balaa hilo? And am surely confirm GOD with my mock evidences, huyu mtu anaweza asiite MUNGU ila akawa na imani kwamba something somewhere can evacuate him
Hakuna "Self proclaimed-claimed atheist" Kwenye Historia ya Ulimwengu kama Steve Jobs, lakini alikiri uwepo wa MUNGU kwenye deathbed
kwa hiyo its a matter of dimension, upo katika hali gani ya kumjua MUNGU
Sure 😀Usitupange mungu hayupo.
Usitupange mungu hayupo.
Hayupo
Yupi huyo ?Kuna atheist mmoja simuoni siku hizi.
Kwanza kabla ya yoteEmbu niambie ni sifa zipi ambazo anazo Mila muumba ni kama za binadamu au ni sifa za binadamu.
Na itakuwa vizuri sana ukitoa ulingano wa sifa,mathalani,ukizungumzia sifa ya kusikia pia uonyeshe ulingano wa kusikia wa Mola mlezi unafanana vipi na kusikia kwa binadamu. Ukifanya hivyo utakuwa umetusaidia sana hasa hasa mimi.
Naamini katika upweke wa Mola na sifa zake !Kwanza kabla ya yote
Unaamini katika nini wewe..?
Nisije nikabanisha sifa zisizoendana na Mungu wako ikawa shida
Bila shaka utakuwa muislamu..au sio.?Naamini katika upweke wa Mola na sifa zake !
Sahihi kabisa,mimi ni muislamu,wa kuzaliwa na wakujifunza pia uislamu na ninaendelea kujifunza.Bila shaka utakuwa muislamu..au sio.?