The Bachelor's Kitchen a.k.a Jiko la msela

The Bachelor's Kitchen a.k.a Jiko la msela

King'asti ingawa mi si muanzisha thread ila nakupa bonge la THANKS...umenifunza mambo.
Btw mi sina rice cooker maana sipikag maharage aisee nkitaka kuyala naenda mgahawani tu.

I meant to say PESSURE COOKER..maana tangu nikiwa mdogo sikuwahi kuelewa ile kitu inavofanya kazi.
 
Kuna very easy ones kutumia kakangu, angalia supermarket utaona. Za zamani zilikuwa kimeo, kale kakizibo ulikuwa ukisahau kukaweka unapata splash ya maana hukawii kuungua.
I meant to say PESSURE COOKER..maana tangu nikiwa mdogo sikuwahi kuelewa ile kitu inavofanya kazi.
 
Chungu kwenye jiko la umeme? Even shape yake tu is not economically supported na jiko la umeme. Unalazimishia banaa, haya chukua kombe baba.

Ha ha ha! Vyungu viko vya aina nyingi sana, sio hicho ulichokiona kwenye picha hapo tu.
Ndio maana vipikio kama sufuria aina nyingi huitwa "cooking pots". Fuatilia historia na "advanced technologies" za mapishi utajua. Hata "slow cooker" ambayo inapika vyakula karibu vyote inatumia chungu ndani yake japo ni ya umeme.

NILISAHAU kushauri juu ya SLOW COOKER, hii unaweza ukaiset asubuhi ukienda job na ukarudi home ukapakua msosi wa aina mbalimbali. Kuanzia soup, wali (aina aina), makande....

Pia jiko la Induction (INDUCTION COOKER) ni zuri sana na salama kwa mapishi. Linatumia umeme economicaly.
Hili linapatikana maduka ya kati ya jiji la Dsm. You can google for ana overview.
 
Unahitaji friji yenye kifriza (kwa ajili ya kuweka mikate fresh). Kuna sandwich maker, hii unatumia kuchoma sandwich. Unaweza kutengeneza nyama ya kusaga ama ya kuku na kabichi kibao ukahifadhi. Then unatengeneza sandwich, its a quick meal anytime.

Microwave nayo yenye steamer na grill ni mwake mwake. Unaweka mazagazaga ukimaliza kuoga msosi tayari. Inapasha na kudefrost akiba za viporo pia.
luv you much inaonekana unafahamu mambo mengi sana safiiii
 
Heshima kwenu brothers and sisters

Msaada wa vifaa muhimu vinavyorahisisha kupika kama Rice cooker kwenye wali, pressure cooker kwenye maharage na nyama etc kama kuna vingine mnavijua vimwageni hapa na kazi zake kama vipi tukavisake maana hivi vifaa muhimu especially kwa sisi mabachelor ili tujipige pige tuwe navyo maana kula magengeni napo kunachosha...

Naomba majina ya vifaa vinavyoweza kurahisisha kufanya kazi zifuatazo

1. Kupika supu

2. Kutengeneza mboga ya haraka

3. Na vinginevyo nisivyovijua ambavyo vinarahisisha mapishi hata cha kusonga ugali kama kipo kimwageni..

ndugu yangu hebu fikiria kuoa pia ila naona wadau wameshakupa mengi ya kukusaidia naamini una wezo wa kuoa kabisa sijui unashindwa nini.
 
kwa kuongezea kwa King'asti, nunua deepfrier kwa ajili ya vyakula kaa chips na kuku,nk ambavyo utatosa kwa mafuta, hakikisha sufuria ni non sticky, na vyombo ni dish washing, usiache kununua axion kwaajili a kuoshea vyombo na pot scrubber.

coffee maker inakuhusu kwaajili ya kahawa ama chai, na salad maker hii itakusaidia kutengenezea salad has kwenye chopping, pia blender kwaajili ya juice. friji nunua yenye water dspenser ili ukwepe maji ya vichupa.

kwa kuhifadhi vitu kwenye jokofu nunua plastic tins, na fridge jug kwaajili ya juice. kama ni mtu wa berbcue nunua meat berbecue, na kama ni mpenzi wa chapati nunua frying pan ya umeme. egg boiler usisahau. nimesahau nini tenaa ngoja nikumbuke nitarudi kukwambia.

gfsonwin luv you
 
kwa kuongezea kwa King'asti, nunua deepfrier kwa ajili ya vyakula kaa chips na kuku,nk ambavyo utatosa kwa mafuta, hakikisha sufuria ni non sticky, na vyombo ni dish washing, usiache kununua axion kwaajili a kuoshea vyombo na pot scrubber.

coffee maker inakuhusu kwaajili ya kahawa ama chai, na salad maker hii itakusaidia kutengenezea salad has kwenye chopping, pia blender kwaajili ya juice. friji nunua yenye water dspenser ili ukwepe maji ya vichupa.

kwa kuhifadhi vitu kwenye jokofu nunua plastic tins, na fridge jug kwaajili ya juice. kama ni mtu wa berbcue nunua meat berbecue, na kama ni mpenzi wa chapati nunua frying pan ya umeme. egg boiler usisahau. nimesahau nini tenaa ngoja nikumbuke nitarudi kukwambia.

Nadhani hujamwelewa, amesema anaomba kusaidiwa kujua vifaa vya jikoni na sio kupunguza nguvu za kiume
 
ndugu yangu hebu fikiria kuoa pia ila naona wadau wameshakupa mengi ya kukusaidia naamini una wezo wa kuoa kabisa sijui unashindwa nini.

Kuoa at 26 kaka?, atleast 28-30 as kichwa kinakuwa matured enough for family challenges...

Ngoja tujaribu jaribu Maisha alone bila kukabwa sana
 
kwa kuongezea kwa King'asti, nunua deepfrier kwa ajili ya vyakula kaa chips na kuku,nk ambavyo utatosa kwa mafuta, hakikisha sufuria ni non sticky, na vyombo ni dish washing, usiache kununua axion kwaajili a kuoshea vyombo na pot scrubber.

coffee maker inakuhusu kwaajili ya kahawa ama chai, na salad maker hii itakusaidia kutengenezea salad has kwenye chopping, pia blender kwaajili ya juice. friji nunua yenye water dspenser ili ukwepe maji ya vichupa.

kwa kuhifadhi vitu kwenye jokofu nunua plastic tins, na fridge jug kwaajili ya juice. kama ni mtu wa berbcue nunua meat berbecue, na kama ni mpenzi wa chapati nunua frying pan ya umeme. egg boiler usisahau. nimesahau nini tenaa ngoja nikumbuke nitarudi kukwambia.

Du!! kwa kweli maelezo yako yamenikosha, ngoja nijitahidi huapply baadhi ya hiyo miundombinu ya kupikia uliyoitaja.
 
King'asti ingawa mi si muanzisha thread ila nakupa bonge la THANKS...umenifunza mambo.
Btw mi sina rice cooker maana sipikag maharage aisee nkitaka kuyala naenda mgahawani tu.
Mentor ,mimi ni mpenzi wa maharage but kwa jiko la gesi usinunue maharage makavu nunua mabichi hayo unapika dakika 10 yameiva kwenye jiko la gas
 
Last edited by a moderator:
Nadhani hujamwelewa, amesema anaomba kusaidiwa kujua vifaa vya jikoni na sio kupunguza nguvu za kiume

kwani coffee maker hupunguza nguvu za kiume?? ama umenielewa vby?? mie nimejaribu kumtajia kifaa na kazi yake so ni wajibu wake kuchagua kinachomfaa ama anachokihitaji. hayo ya nguvu za kiume siyajui. manake awe navyo asiwe navyo kama hana hana tu.
 
Usisahau bread maker ili usipate shida kununua mikate...
 
Bibi weye, mbona mie Paw nilimkuta na gadgets kibao? Ukiwa bachelor ndo usiwe nyuma banaa. CLONEY, @ mkata kiu na Mentor, hebu tuhamie na bedroom basi. Mambo ya bedsheets pair moja haihuuu, siku mvua ikinyesha unalalia matress cover,lol
nyie gfsonwin na King'asti mnataka kweli hawa mabachelor waoe siku moja loh!
kha!madude yote hayo ya nini kwa jiko la bachelor jamani!
 
Last edited by a moderator:
Unamaanisha porcelain pots? Manake mie nilidhani unasemea picha uliyoweka hapo.

Well, slow cooker na.umeme wa bongo, utakula luku yote uje ulale gizani na joto. And realistically, bachelors dont cook kande, wanaenda kudoea kwa mama zao wadogo,lol
Ha ha ha! Vyungu viko vya aina nyingi sana, sio hicho ulichokiona kwenye picha hapo tu.
Ndio maana vipikio kama sufuria aina nyingi huitwa "cooking pots". Fuatilia historia na "advanced technologies" za mapishi utajua. Hata "slow cooker" ambayo inapika vyakula karibu vyote inatumia chungu ndani yake japo ni ya umeme.

NILISAHAU kushauri juu ya SLOW COOKER, hii unaweza ukaiset asubuhi ukienda job na ukarudi home ukapakua msosi wa aina mbalimbali. Kuanzia soup, wali (aina aina), makande....

Pia jiko la Induction (INDUCTION COOKER) ni zuri sana na salama kwa mapishi. Linatumia umeme economicaly.
Hili linapatikana maduka ya kati ya jiji la Dsm. You can google for ana overview.
 
Back
Top Bottom