The Bachelor's Kitchen a.k.a Jiko la msela



Non stick cookware, hapo ni sufuria na frying pan ya mayai/chips.



Electric Hot pot cooker unapika chochote hapo, ni sufuria na cooker at the same time. Nililitumia sana colleage days.




Rice Cooker, unaweza kusteam pia.



Pressure cooker, hii ni kwa chakula kigumu kuiva kama maharage na nyama.
 
Ushauri wangu wa mabachelor kwenye mambo ya shuka, kweli sishauri ununue shuka nyeupe unless you're real neat guy kama Bujibuji.

Chengine tafute haya mashuka yanayoitwa fitted bedsheet, zenyewe zinakuwa hivi, maana zina lastic kwahiyo kitanda kinakuwa hakivurugiki unawezajigaragaza still kitu kimetulia. Kwawale wavivu wa kutandika kama mimi lol




Hapa baada ya kutandika

 
Last edited by a moderator:
hata hii kitu ni muhimu kuwa navyo kwa vyakulaa mbavyo ni vibishi kuiva . lol

hii ndio yenyewe nilipewa na Shangazi yangu kwa ajili ya kupikiwa Mtori na wife siku ya harusi!
 

Ndugu yangu kwa utitiri kama huu wa mahitaji sidhani kama waweza nunua vyote, chagua vya muhimu tu vingine ujufunze kutengeneza mwenyewe vingi vinatumia umeme hivyo itakuwia vigumu kama hakuna umeme na wewe unaharaka ya kutaka chakula.Jifunze sasa kwani haitakuwa ngumu pindi majukumu yanapoongezeka au siku mke hayupo wewe unakarangiza tu!
 
mhhhh,huo mkono wa shemeji nini?napenda wazungu jamani
 

unajua mambo mengi sana wewe madamex I wish siku moja nikuone
 
Mimi niko navyo tayari ila kuosha vyombo mmmmh
 
Hope it is not too late. Kuna jamaa anauza non stick pan, set ambayo ni nyeusi kote with three silver strips. Box lina rangi nyekundu. Yuko kariakoo, nadhani somewhere near azam, kuna kcb bank somewhere. Anaitwa kasheshe +255 655 434 999. Ukimpigia anafanya delivery unalipia usafiri. Very reasonable price, 2 yrs now hazipauki na ukisonga ugali immediately unaosha na sponge tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…