The beautiful game is more than just a game...Images from SA 2010 World Cup

Mkulu Desmond Tutu



 

Attachments

  • _48052955_tutu_ap.jpg
    25.3 KB · Views: 42
President Kibaki, Prime Minister Raila attend World Cup ceremony



Presidents Kibaki (Kenya) and Jacob Zuma (South Africa) share a light moment during the opening ceremony of the 2010 World Cup in South Africa June 11, 2010. In the background is Zimbabwe President Robert Mugabe




Prime Minister Raila Odinga confers with South Africa President Jacob Zuma during the opening ceremony of the 2010 World Cup in South Africa




President Kibaki and Prime Minister Raila Odinga were among the dignitaries who attended the official opening of the 2010 World Cup at Soccer City stadium in Johannesburg, South Africa​
 


Prime Minister Raila Odinga is received by Kenyan ambassador to South Africa Tom Amollo and Sisa ngombane, the ambassador, department of international relation and cooperation upon arrival at the OR Tambo International Airport for the official opening ceremony in Johannesburg June 10, 2010












 
hapo kwenye Nyekundu mbona utata au ni population ya watu wote katika sayari zinazozunguka jua???!

Mkuu "cumulative audience" ni idadi ya watu watakaongalia mechi zote kuanzia mechi ya kwanza hadi fainali, kumbuka population ya dunia ni bilioni 5 na ushee. Kwa mfano kama mechi zote mbili za jana watu bilioni 1 waliangalia kila mechi basi "cumulative audience" tutasema mechi za jana ziliangaliwa na watu bilioni mbili Ulimwenguni na inawezekana kabisa wakawa ni wale wale wapenzi na washabiki wa kandanda Ulimwenguni.
 
Mkuu mapicha yako haya yananimaliza sana, nimeshangaa sana VDG hakuhudhuria ufunguzi wa kombe la dunia naona kelele za kusafiri sana zinamgusa kwa namna moja au nyingine au ndiyo mwaka wa uchaguzi.
 

Thanx for explaining that maana kiinglishi samtaimu kina kazi.

Meanwhile Muungwana hakuenda kuangalia hii kitu or even Pinda?
 
Mkuu mapicha yako haya yananimaliza sana, nimeshangaa sana VDG hakuhudhuria ufunguzi wa kombe la dunia naona kelele za kusafiri sana zinamgusa kwa namna moja au nyingine au ndiyo mwaka wa uchaguzi.

Nadhani alivyowaalika Brazil aliona keshamaliza mchezo eti....😛ound:
 
This plus the sound of the Vuvuzelas will haunt you...

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…