The beautiful little girl named Mykayla. Eating Cannabis Oil saved her life.

The beautiful little girl named Mykayla. Eating Cannabis Oil saved her life.

Hapa Bongo mbegu za bangi zinatumika kumsaidia mama anayenyonyesha kutoa maziwa ya kutosha. Wanyalukolo wanaijua sana hii si lazima uende kwenye Wikipedia.
 
Hi any one anaejua cannabis oil anielekeze jamani mie na mgonjwa yuko serious with cancer please nijulishe hata leo nitafute
 
BANGI! yanapopatikana nadhani umeshajua!

Unaposema neno BANGI (Unamaanisha kuvuta) Unakuwa unapotosha, Cannabis oil na Bangi ya kuvuta ni vitu viwili tofauti. Kuwa msomi na sio kusema tu unachotaka, USIPOTOSHE. Cannabis oil ya viwandani kwa ajili ya tiba inatolewa THC.
 
Something good eaten (taken orally) does not necessarily mean its good when smoked...

Even when you smoke any food (ugali, chapati, ndizi n.k.) am sure there will be big side effects
 
Hi any one anaejua cannabis oil anielekeze jamani mie na mgonjwa yuko serious with cancer please nijulishe hata leo nitafute

Ndugu yangu, haya mafuta ni "Home made" pia, kama utafuata utaratibu wa utengeneza yanasaidia sana, Nilikuwa naagiza nje kutoka New Zealand (Hata E-Bay, Amazon). Hapa kwetu nchini hawana sera zozote za akili kufikiria na kuweka researchs mbali mbali juu ya Hemp Oils. Zipo nchi zinaruhu bila tatizo kuna kampun kubwa ninayoijua ya New Zealand, unaweza ukanunua online na wakakutumia.

The Hemp Farm NZ Ltd

500.png


Organic Hemp Seed Oil 500ml Bottle

Unaweza kutumia katika matumizi mengi.
The Health Benefits of Hemp Oil
Health Benefits of Hemp Oil
hemp_oil_full_1333046206.jpg


Hemp Oil: Good for So Many Things | Veria
The Cure For Cancer - Hemp Oil
Benefit Of Hemp Oil | LIVESTRONG.COM



Kama kununu itakusumbua kuna namna ya kutengeneza ila itakugarimu kiasi kikubwa cha Cannabis leaves/seeds. Video ipo kwenye Comments zilizopita. Pia Youtube kuna wataalam wameelekeza jinsi ya kutengeneza. Kumbuka, usinunue Cannabis plants kwa mtu, bora upande mmea wako mwenyewe itakuwa safe maana utunzaji wake ni wa care (kwa siri i guess).
 
Something good eaten (taken orally) does not necessarily mean its good when smoked...

Even when you smoke any food (ugali, chapati, ndizi n.k.) am sure there will be big side effects

Yeah, but the topic sio kuhamasisha kuvuta, beside Marijuana is safe than Coffee, Cigarete, Alcohol, Aspirin and Carbonated soda.
 
Unaposema neno BANGI (Unamaanisha kuvuta) Unakuwa unapotosha, Cannabis oil na Bangi ya kuvuta ni vitu viwili tofauti. Kuwa msomi na sio kusema tu unachotaka, USIPOTOSHE. Cannabis oil ya viwandani kwa ajili ya tiba inatolewa THC.
Bwana msomi niambie bangi ya mboga ile tunayofanya kama mchicha tunaiunga kwa nazi nyie wasomi mnaiitaje? na ile ya tunayoitumia kama dawa ya sikio nyie wasomi mnaiitaje?
 
Bwana msomi niambie bangi ya mboga ile tunayofanya kama mchicha tunaiunga kwa nazi nyie wasomi mnaiitaje? na ile ya tunayoitumia kama dawa ya sikio nyie wasomi mnaiitaje?

Inayofanywa kama mchicha siifahamu maana sijawahi kuiona, ila nasikia kuna makabila kama wahandzabe tangu miaka na miaka kabla ya ukoloni walikuwa wanatumia kama mboga. Ila Hemp oil inaweza kutumika kama mafuta ya kupikia na ndio kazi yake kubwa na ya muhimu sana mwilini mwa mwanadamu maana yana Omega 3 na Omega 6 ambayo huipati katika mafuta, wala mboga wala matunda.

Kuhusu masikioni hata Hemp oil unaweza kuitumia, au jani bichi unalikamua sikioni maji yake yaingie ndani ya sikio, Ni dawa nzuri na ilishawahi kunitibu.
 
Inayofanywa kama mchicha siifahamu maana sijawahi kuiona, ila nasikia kuna makabila kama wahandzabe tangu miaka na miaka kabla ya ukoloni walikuwa wanatumia kama mboga. Ila Hemp oil inaweza kutumika kama mafuta ya kupikia na ndio kazi yake kubwa na ya muhimu sana mwilini mwa mwanadamu maana yana Omega 3 na Omega 6 ambayo huipati katika mafuta, wala mboga wala matunda.

Kuhusu masikioni hata Hemp oil unaweza kuitumia, au jani bichi unalikamua sikioni maji yake yaingie ndani ya sikio, Ni dawa nzuri na ilishawahi kunitibu.
sasa bana msomi kwa nini uliniita mpotoshi kwa kuwa tu nimeita bangi?mimi (usiwaambie polisi tafadhali)nakula bagi ,ipo maridadi sana kwa sembe pembeni samaki wa kukaanga,sikio likileta ugomvi tunalisikilizisha bangi!na kweli wakati mwingine tunajiburudisha kwa njia usiyoipenda ya moshi!
 
sasa bana msomi kwa nini uliniita mpotoshi kwa kuwa tu nimeita bangi?mimi (usiwaambie polisi tafadhali)nakula bagi ,ipo maridadi sana kwa sembe pembeni samaki wa kukaanga,sikio likileta ugomvi tunalisikilizisha bangi!na kweli wakati mwingine tunajiburudisha kwa njia usiyoipenda ya moshi!

Nakumbuka ulisema "BANGI! yanapopatikana nadhani umeshajua!"

So, kwa mtu ambaye hajui atakuelewa vibaya, Hemp oil ni tofauti kidogo na BANGI, Japokuwa Hemp Oil inatengenezwa na mbegu na fibers za Cannabis na haina THC ambayo wavutaji ndio wanaitaka.

Hemp Oil ni tofauti na Cannabis ya kuvuta, wala ya kula.


Bangi na Pombe bora bangi na kila daktari anashauri hivyo. Sema tu Marijuana iheshimiwe kama Pombe inavyoheshimiwa, Marijuana isitumike kwa chini ya Umri wa miaka 21 sio vyema maana utafiti unasema inawezekana kukawa na madhara katika ukuaji kama ilivyo Pombe under 18.
Lakini kwa miaka 21 kwenda mbele HAKUNA USHAHIDI KUWA INA MADHARA.


Alcohol, tobacco, marijuana, caffeine and refined sugar are among the most commonly used, potentially habit-forming recreational substances. All are best left out of our daily diets. Only marijuana is illegal, though alcohol and tobacco are clearly more harmful. In several respects, even sugar poses more of a threat to our nation's health than pot.

Alcohol is illegal for kids because it is harmful for developing minds. Why not do the same with pot? It's not like marijuana is illegal because of harmful side effects anyways. Hungry, happy, sleepy. Those are the effects. An adult user of cigarettes can expect to get cancer in the near future but not to Pot users, Beside Pots cures cancer.

Why marijuana should be legal for adults - CNN.com
 
Nakumbuka ulisema "BANGI! yanapopatikana nadhani umeshajua!"

So, kwa mtu ambaye hajui atakuelewa vibaya, Hemp oil ni tofauti kidogo na BANGI, Japokuwa Hemp Oil inatengenezwa na mbegu na fibers za Cannabis na haina THC ambayo wavutaji ndio wanaitaka.

Hemp Oil ni tofauti na Cannabis ya kuvuta, wala ya kula.


Bangi na Pombe bora bangi na kila daktari anashauri hivyo. Sema tu Marijuana iheshimiwe kama Pombe inavyoheshimiwa, Marijuana isitumike kwa chini ya Umri wa miaka 21 sio vyema maana utafiti unasema inawezekana kukawa na madhara katika ukuaji kama ilivyo Pombe under 18.
Lakini kwa miaka 21 kwenda mbele HAKUNA USHAHIDI KUWA INA MADHARA.






Why marijuana should be legal for adults - CNN.com
Love it! love it!love it!love it!love it!
 
Back
Top Bottom