mai broda,bishanga abashaija stranger kwako? we njo manzese uwanja wa fisi,uliza wapi kwa bishanga utaonyeshwa
hivi Kipipi na Nemo nao wametumbukia kwenye nyavu za fisadi wa mahaba TF? Maskini!
Jamani............hii sred si ilikuwa inazungumzia avatars??? Mimi hata avatar sina lakini wachokozi mpaka wamenitaja tu!!!!!!!!
Inatokana na interest ya mtu...mawazo au hata reflection ya alivyo.
Hata hizo za wababa unazosema ziko vuluvulu zina maana nyuma yake.
TF atakuwa na tatizo la 'the grass always looks greener on the other side of the fence'
Afro,Husninyo,Sweetlady,Jux,kokuberwa,Kipipi....but the guy keeps asking
about Nemo kutwa....and Nemo is asking about me ...lol....
Point!...Lizzy posting zako zimekwenda shule hasa!....
nisamehe bure,sio kosa langu,TF katangaza ashakulamba!
usijali ukiona unatajwa ujue 'tumekumiss tunataka uje useme chochote'
Weekend wakati watu wanabanjuka wameweka shida zao chini wamenyanyua mikono juu wanakula rahaTF alizaliwa siku gani ya wiki?
Alikuwa gezaulole gesh haushiwe mbu we,we nae umetokea wapi? Ulikuwa gesti?
Ila wajameni The Boss umezidi.............. Kipipi hata kwenye hiyo camp hajawahi kuingia! Wanitakiani mie????
Utathibitisha visivyothibitikanajua aisee'nilitaka kuthibitisha' lol