The beauty and the ugly.

The beauty and the ugly.

mbona Mbu anaishi sinza? Yaani kaona namnani hakufai? Na mwika pale!si kuna vyumba?

Namnani vitanda vyake vinapiga kelele
Mwika kuna mbu sana
Sinza nzima wanamjua so kaamua kubadilisha mazingira
 
bug.gif
 
i am out jamani..
KIPIPI i hope no hard feelings,nothing serious,just chit chat..
akasirike nini sasa wakati naye yuko ndani ya malavii na mukulu,muzee munene,muzee wa pamba,muzee wa madolari,ile mtu nakuya jana toka parii,
je ma pel TF!!!!!!!!!!
 
I hope ni nyinyi wawili tu kwenye equation. Maana that fish is too cute for her own good.

Sidhani kama Boss got anything on you. lol

Undugu wetu hautakufa....nitakuheshimu zaidi
ukiweza kwenda on par na mimi 'kaka yako' nikashindwa ....
do you have that game????lol....

hilo Boss si tatizo ni a fact of life

Wewe umepata mtu kakurushia hadi uzi na kuwaambia wanawake wote JF "wakukome" lakini wala husikii huoni kwa "a lost tiny fish"

ha ha ha wewe bana...
Sasa kama mimi ni two fish to choose..
dogo ana Catalougue yenye mpaka 'mermaid' but
anataka 'undugu ufe na kaka yake' kwa fish mwingine kabisa..lol

Two fish wapi wakati ushasema kupaishwa PM wewe ni routine 😛

usini quote vibaya...
hebu edit hapo...
unataka kisima changu 'kikauke' lol

Kumradhi nimekosea

jamani msini nukuu vibaya, sina lengo la kutia kitumbua cha Boss mchanga

TF ana seduce wife of yatch onwers....umeona???
mwisho ana cruise for free lol

Mbona kazi wanayo wanaokutana nae!

hivi Kipipi na Nemo nao wametumbukia kwenye nyavu za fisadi wa mahaba TF? Maskini!

haogopi kushushwa mshipa,mtoto huyu TF lol!

aah wapi naona dogo anajitahidi tu but 'kuna anga ' hataweza lol

Sina uhakika

TF alizaliwa siku gani ya wiki?
Dah!!! Hii conversation sijui walahiii ilinipitia wakati niko wapi kwa kweli
 
Back
Top Bottom