---hahahahahah!---.....umenikumbusha mwj1 hapa https://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/161353-kituko-harusini-2.html
Nimeisikia hiyo na ndo maana nasema kwa sauti
Nimekumiss sana aise
Ukiona vinaelea vimeundwa haya sasa songa kule mbele kaunde vya kwako uanze kuviambia nimekumiss kabla haujateguliwa mshipa wa masaburi muda si mrefu[/QUOTE]Nimeisikia hiyo na ndo maana nasema kwa sauti
Nimekumiss sana aise
Ukiona vinaelea vimeundwa haya sasa songa kule mbele kaunde vya kwako uanze kuviambia nimekumiss kabla haujateguliwa mshipa wa masaburi muda si mrefu[/QUOTE]Nimeisikia hiyo na ndo maana nasema kwa sauti
Nimekumiss sana aise
Unataka kulala stoo leo.....
Wewe endelea kunitania tu muda si mrefu nitaweka godoro lako jikoniEhhhh
Ivi kumbe unajua kununa
Mmmmmmhhh
Hahahahahaha!!! Muone kichwa kama chungwaAhhhhhh
Mbona hiyo nimesha zoea..
Usinifuate tu vikikukolea ... .
Anaomba huruma hapa. Anaomba usipeleke godoro lake jikoniHahahahahaha!!! Muone kichwa kama chungwa
Halafu unakuta Bishanga hana hata Scooter.
Ahhhh
Maisha vurugu mechi.
Ye akianza kutupanga hapo looh
Mara Iren, sjui Mwajuma, na huyo
Tina lohhhh chumba hakitoshi..
Mi nkisema ni me miss The One &Only
Captain Rocky makosi.. simwelewi..
Hivi unamjua Bishanga au unamsikia wewe subiri aibuke hapa utasikia anasema nilikuwa nimeenda kula dinner kule kwenye YATCH yangu kumbe alikuwa Tandale
...ohooo, mimi sikumaanisha hivyo bana....lol...nawewe unaanza uchokozi hata dripu hujatoa mkononi,
haya bana!
Wewe endelea kunitania tu muda si mrefu nitaweka godoro lako jikoni
We furahi kwa raha zako bana achana nae
Yeye ndo atalala stoo sio sisi
Yaani hapa full raha bana achana na TF akapambane na Kipipi na yule nani sijui wa mafia
Hapa tunamisiana tuu
Hahahahahaha!!! Muone kichwa kama chungwa
Mhhhh
Unataka kulimenya..
Au umeshindwa kazi waomba msaada?
Anaomba huruma hapa. Anaomba usipeleke godoro lake jikoni
Mwambie Cathy nakuja kumtembeleaGodoro staki..
Sakafu la baridi hadi rahaa...
Utakoma nimeku nunia kimoja 🙁
I
Ahhh
Rocky usiache kuni miss
Na mi ngoja niiandike kwenye
Kiganja nsi kusahau..
nakuuliza hiviiiii? Unalala na kufuli?
Mi nimeandika moyoni kabisa nisije kukusahau
Safi sana aise tumuache jamaa akae huko huko jikoni kwake