The beauty and the ugly.

The beauty and the ugly.

Mi nipo Mr. Rocky.
vipi weekend inaendaje?
kalala usjali waweza ongea kwa nguvu...

Weekend iko salama kabisa
Nashukuru kama na kwako iko salama
Afadhali amelala asije akashangaa kuna kidume kinammiss mtu wake
 
\


heeee.........kwenye ubwabwa!!!

huo mnazi wachanua,
huo mnazi wachanua,
wakati wa kuchanika,chanu chanu.......
Hiyo nyumba yabomoka,
hiyo nyumba yabomoka,
wakati wa kubomoka,
bomo bomoooooo
 
Weekend iko salama kabisa
Nashukuru kama na kwako iko salama
Afadhali amelala asije akashangaa kuna kidume kinammiss mtu wake

Ahhhh
Hivi hajakwambia kuhusu Open Relationship
Tuliyowekeana aee..

Nashkuru kusikia weekend yako
Iko poa kabisa..
 
QUOTE=afrodenzi;2765358]Ahhhh
Hivi hajakwambia kuhusu Open Relationship
Tuliyowekeana aee..

Nashkuru kusikia weekend yako
Iko poa kabisa..[/QUOTE]

Nimeisikia hiyo na ndo maana nasema kwa sauti
Nimekumiss sana aise
 
QUOTE=afrodenzi;2765358]Ahhhh
Hivi hajakwambia kuhusu Open Relationship
Tuliyowekeana aee..

Nashkuru kusikia weekend yako
Iko poa kabisa..

Nimeisikia hiyo na ndo maana nasema kwa sauti
Nimekumiss sana aise[/QUOTE]
Ukiona vinaelea vimeundwa haya sasa songa kule mbele kaunde vya kwako uanze kuviambia nimekumiss kabla haujateguliwa mshipa wa masaburi muda si mrefu
 
just say it,TF hana uwezo,halafu anataka kujishebedua na wanawake matawi kama Nemo na Kipipi,ataweza?atuachie sisi mapedeshee wa ukweli,kuhonga rav4 kwetu ni kama kumnunulia mwanao peremende.

yaani utanifata kabisa kwenye apartment yangu masaki,haile selasie rodi?

---hahahahahah!---
.....umenikumbusha mwj1 hapa
https://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/161353-kituko-harusini-2.html

avatar11417_25.gif
...ahahha na zile za .......Natambua uwepo wa Baba mzazi wa Bibi arusi,..Prof. Tilalila bin Mitungi. Yeye ni Profesa na PhD yake aliiichukulia kule Marekani
Natambua uwepo wa Mama mzaa chema, Dr. Kiroba bint Nyagi, yeye aliishi Bradford kwa miaka saba,
Nisisahau uwepo wa Baba Mdogo wa Bibi Arusu, Dr. Ambari wa Achari, ni Dr. kwa Mwananyamala, yeye aliishi sana Ujerumani
Natambua uwepo wa Pro. Naniliu, yeye pia ni Mbunge wa Jombo la Naniliu
Bila kusahau Uwepo wa Mr. Kaka wa Braza, yeye ni jirani yake Profesa

Eh utadhani tuko kwenye mkutano wa kichama, kumbe arusi!!
 
QUOTE=afrodenzi;2765358]Ahhhh
Hivi hajakwambia kuhusu Open Relationship
Tuliyowekeana aee..

Nashkuru kusikia weekend yako
Iko poa kabisa..

Nimeisikia hiyo na ndo maana nasema kwa sauti
Nimekumiss sana aise[/QUOTE]

Ahhhh
Maisha vurugu mechi.
Ye akianza kutupanga hapo looh
Mara Iren, sjui Mwajuma, na huyo
Tina lohhhh chumba hakitoshi..

Mi nkisema ni me miss The One &Only
Captain Rocky makosi.. simwelewi..
 
Nimeisikia hiyo na ndo maana nasema kwa sauti
Nimekumiss sana aise

Ahhhh
Maisha vurugu mechi.
Ye akianza kutupanga hapo looh
Mara Iren, sjui Mwajuma, na huyo
Tina lohhhh chumba hakitoshi..

Mi nkisema ni me miss The One &Only
Captain Rocky makosi.. simwelewi..
Khaaaaa
 
Back
Top Bottom