Haka
Jikoni anatafuta nini alale huko huko
Chumbani na ma godoro yake bila shuka.
Mwambie Cathy nakuja kumtembelea
Unaonma matatizo yake eehhKhaaaaaaa
Nimekupa uhuru wako.
Yaani wataka nkufanyie kazi zako.
MmhhHapo kwa kweli imekula kwako
ndo nini sasa kujibu mguno kwa mguno?
ukitoka keko machungwa itafute kamata,ukifika posta chukua basi la masaki,njoo mpaka sea cliff ,shuka hapo , hayo ma apartment ya kushoto kwako ndo kwangu,karibu.Kwani masaki ndo nini??? Ngoja niitarifu camp yangu iliyoko keko machungwa!! We mchache sana!
Ukiona vinaelea vimeundwa haya sasa songa kule mbele kaunde vya kwako uanze kuviambia nimekumiss kabla haujateguliwa mshipa wa masaburi muda si mrefu[/QUOTE]Nimeisikia hiyo na ndo maana nasema kwa sauti
Nimekumiss sana aise
We si unaona anavyopendwa humudu! huyu mukulu kumbe ana mzizi? aisee!
acha kumtisha ndugu yangu!Ukiona vinaelea vimeundwa haya sasa songa kule mbele kaunde vya kwako uanze kuviambia nimekumiss kabla haujateguliwa mshipa wa masaburi muda si mrefu
wakina mama tunajipenda bwana. nitaweka avatar ya maua soon.