The beauty and the ugly.

na nikiweka ya Asha Rose Migiro itakuwa ina maana kuwa?
 
Haloo Dear
Hope umekuwa na weekend njema
Niko salama kabisa napambana na Bishanga hapa


Weekend kama unavoona B' anatuchangamsha hapa.... Mie mzima kabisa
Hongera nimeipenda saana Avatar....
 
Mimi huwa nikisafiri muda wangu ambajo sina kazi nautumia kuangalia movies
Naweza maliza siku nzima rum kama sina kazi naangalia movies tuu na documetary
Kweli kabisa mkuu
Idle sometime ni mbaya san a
nitafutie Bebii basi umwambie kesho jumapili anipeleke movie mlimani city,kisha samaki samaki,kisha.......
 
we iweke,lakini kwanza muulize CLEMMY anavyosumbuliwa pm na vidume..
wakati na yeye kidume lol...



Jamaa mpaka alirusha Uzi Complaints....lol...
Kuna dada akamwita jina la Vigezo vya Cameron,
Yeye mwenyewe karudi ile ya zamani ya Hitler...
 
Weekend kama unavoona B' anatuchangamsha hapa.... Mie mzima kabisa
Hongera nimeipenda saana Avatar....

Asante sana na kwangu iko poa pia
Dogo ana msimamo sana na niliipenda sana movie yake na Christina Milan huwa siichoki kuiangalia
 
nitafutie Bebii basi umwambie kesho jumapili anipeleke movie mlimani city,kisha samaki samaki,kisha.......

ngoja nikamvurumishe huko aliko aje hapa
Ila nikikuta kufuli mlangoni nakaa kimya sitakuambia
 
Jamaa mpaka alirusha Uzi Complaints....lol...
Kuna dada akamwita jina la Vigezo vya Cameron,
Yeye mwenyewe karudi ile ya zamani ya Hitler...

ha haa sikujua kama 'kabadili.lol...
 
Asante sana na kwangu iko poa pia
Dogo ana msimamo sana na niliipenda sana movie yake na Christina Milan huwa siichoki kuiangalia


Kwa msimamo namkubali... Mie ni mmoja ambao nilifikiri hawata dumu!

I am proud of them kwa kweli wamshinda hata mapepe Kim Kard....
 
humjui husb wangu?
usintishe kwani ana mapembe? achana na mzushi uporoto wa fantasy world,in real world huku mtaani kwetu msasani mandazi rodi umeolewa?
 
Kwa msimamo namkubali... Mie ni mmoja ambao nilifikiri hawata dumu!

I am proud of them kwa kweli wamshinda hata mapepe Kim Kard....

Kweli kabisa maana walimsema amekimbilia pesa za Mariah na kuwa ni mdogo sana kwa Mariah ila kaamua kukaa kimya na kuendelea na maisha yake
Wengi tunakumbana na hayo na ukiwa mwepesi unaweza kuachana na mchumba au mke wako kwa sababu ya maneno kama haya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…