The beauty and the ugly.

Boss jina tu kumbe anapeleekeshwa pute ile mbaya!

Uskute assignment ni kuchunguza "what's bibie's favorite color"!

is that a challenge from you??
lol.......be carefull on what you wish for....lol
 
Dah! Bishanga unaua CV watu wanaichafua kweli
Kaoge na maji ya mto msimbazi unaweza takata kidogo.
Maana huko kuugua kwako ndo kabisa umeharibu CV maana inasemekana ulikuwa unalelewa na SL
 
Boss utakuwa unanionea bana
Mimi siko kabisa huko
Tf ndio mchakachuaji na CV yake iko juu kwenye fani

wewe ni no 2 now kwenye research ya
vidume vya jf.most desired by ladies...baada ya TF
hiyo research bado haijawa published...but nimeiona..ulikuwa hujui....
 
QUOTE=The Boss;2763724]wewe ni no 2 now kwenye research ya
vidume vya jf.most desired by ladies...baada ya TF
hiyo research bado haijawa published...but nimeiona..ulikuwa hujui....[/QUOTE]

Hili balaa sasa maana ninavyojua mimi ni TF na the Boss na then Mbu na NN na then Babu then wengine huko tunashikila mkia
 
QUOTE=The Boss;2763724]wewe ni no 2 now kwenye research ya
vidume vya jf.most desired by ladies...baada ya TF
hiyo research bado haijawa published...but nimeiona..ulikuwa hujui....

Hili balaa sasa maana ninavyojua mimi ni TF na the Boss na then Mbu na NN na then Babu then wengine huko tunashikila mkia[/QUOTE]

list huenda ikabadilika
ukibadili avatar au ku post kitu interesting..inabadilika..
now wewe ni no 2...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…