The Beauty of Tanzania...(Picha)

The Beauty of Tanzania...(Picha)

3344977.jpg



3344458.jpg



392209.jpg



3347528.jpg
 
FELI..,
Lakushangaza hata bajeti iliyotangazwa majuzi, iliondoa kodi kwenye magari ya kubeba Watalii.

Kwasabau ya kutojiamini. Yaani tunategemea sana external sources of income na misaada. Mimi huku kushuka kwa uchumi ningechukulia kama advantage kwetu kwani sisi economy yetu haiko 100% commercialised so kwangu kilimo ndo namba moja hiyo tourism okay but kama watu wangu watajitosheleza kwa chakula and on export badala ya kulima pamba ambayo hatuna viwanda na wanunuzi ndo hawana pesa basi mimi ningeelekeza nguvu kwenye ngano ambayo iko locally consumed na externally, pamoja na horticultural crops, mahindi kwaajili ya export pia maana ina link na sector ya livestock in western countries nakwao ni gali so huwa wanapenda kuimport na kwakua chakula ni priority kuliko nguo basi hiyo sector bado iko subsidised ku import hizi tu kama zikiwa efficiently produced na kwakutumia labour na technology yetu hata watalii wasipokuja si tutauza ngano kwao na sector yetu ile ambayo ndo mkombozi kwenye kodi yaani breweries japo kua mimi mlokole lakini kuliko pamba bora ngano maana kutakua na multplier effect hata kwenye associated industries kama Bakresa na so on. Then mbaazi, sunflower etc. Well tusi shy away tuisaidie nchi yetu. Maana miradi ya kilimo haipo properly done japokuwa kuna genuine effort lakini planning ni tatizo kubwa.
 
[FONT=arial,sans-serif][SIZE=-1]Tanzanian Crops
2048 x 1536 - 257k - jpg
travel.webshots.com[/SIZE][/FONT] [FONT=arial,sans-serif][SIZE=-1]... U.S. and Tanzania crops grown by ...
400 x 336 - 44k
crs-blog.org[/SIZE][/FONT] [FONT=arial,sans-serif][SIZE=-1]Kastul Baha & other Tanzanian ...
2048 x 1536 - 1803k - jpg
ipsnews.net[/SIZE][/FONT] [FONT=arial,sans-serif][SIZE=-1]Titre: Paddy crops
355 x 266 - 24k - jpg
www.concordeurope.org
[ More from www.concordeurope.org ][/SIZE][/FONT] [FONT=arial,sans-serif][SIZE=-1]The larger Tanzanian holders that ...
250 x 268 - 20k - jpg
www.coffeehabitat.com[/SIZE][/FONT] [FONT=arial,sans-serif][SIZE=-1]... could help this Tanzanian woman ...
500 x 375 - 234k - jpg
www.globalenvision.org[/SIZE][/FONT] [FONT=arial,sans-serif][SIZE=-1]Crops at market. Tanzanian farmers ...
320 x 250 - 50k - jpg
www.ippmedia.com[/SIZE][/FONT] [FONT=arial,sans-serif][SIZE=-1]Over 70% of Tanzanians live in rural ...
451 x 230 - 34k - jpg
www.farmafrica.org.uk[/SIZE][/FONT] [FONT=arial,sans-serif][SIZE=-1]Chart 1: Tanzania: Trade Indicators
350 x 708 - 16k - gif
www.imf.org[/SIZE][/FONT] [FONT=arial,sans-serif][SIZE=-1]Sisal crops in Tanzania.jpg
3888 x 2283 - 3203k - jpg
commons.wikimedia.org
[ More from upload.wikimedia.org ][/SIZE][/FONT] [FONT=arial,sans-serif][SIZE=-1]About the Tanzanian Sisters Project.
518 x 429 - 21k - jpg
www.dioceseoftanga.org[/SIZE][/FONT] [FONT=arial,sans-serif][SIZE=-1]Kenya and Tanzania 2005 Crop Tour ...
864 x 659 - 223k - gif
www.fas.usda.gov
[ More from www.fas.usda.gov ][/SIZE][/FONT] [FONT=arial,sans-serif][SIZE=-1]... "Kenya and Tanzania 2005 Crop ...
862 x 665 - 158k - gif
www.fas.usda.gov[/SIZE][/FONT] [FONT=arial,sans-serif][SIZE=-1]Tanzania
500 x 375 - 44k - jpg
www.aac-aid.org[/SIZE][/FONT] [FONT=arial,sans-serif][SIZE=-1]Crop in Northern Tanzania
350 x 234 - 46k - jpg
www.cas-ip.org[/SIZE][/FONT] [FONT=arial,sans-serif][SIZE=-1]... the crop one of the Tanzanian ...
400 x 278 - 18k - jpg
www.nancarrow-webdesk.com
[ More from www.nancarrow-webdesk.com ][/SIZE][/FONT] [FONT=arial,sans-serif][SIZE=-1]... the crop one of the Tanzanian ...
400 x 269 - 10k - jpg
www.nancarrow-webdesk.com[/SIZE][/FONT] [FONT=arial,sans-serif][SIZE=-1]In the sorghum field - Tanzania
182 x 130 - 14k - jpg
www.virtualtourist.com
[ More from cache.virtualtourist.com ][/SIZE][/FONT]
 
Kwasabau ya kutojiamini. Yaani tunategemea sana external sources of income na misaada. Mimi huku kushuka kwa uchumi ningechukulia kama advantage kwetu kwani sisi economy yetu haiko 100% commercialised so kwangu kilimo ndo namba moja hiyo tourism okay but kama watu wangu watajitosheleza kwa chakula and on export badala ya kulima pamba ambayo hatuna viwanda na wanunuzi ndo hawana pesa basi mimi ningeelekeza nguvu kwenye ngano ambayo iko locally consumed na externally, pamoja na horticultural crops, mahindi kwaajili ya export pia maana ina link na sector ya livestock in western countries nakwao ni gali so huwa wanapenda kuimport na kwakua chakula ni priority kuliko nguo basi hiyo sector bado iko subsidised ku import hizi tu kama zikiwa efficiently produced na kwakutumia labour na technology yetu hata watalii wasipokuja si tutauza ngano kwao na sector yetu ile ambayo ndo mkombozi kwenye kodi yaani breweries japo kua mimi mlokole lakini kuliko pamba bora ngano maana kutakua na multplier effect hata kwenye associated industries kama Bakresa na so on. Then mbaazi, sunflower etc. Well tusi shy away tuisaidie nchi yetu. Maana miradi ya kilimo haipo properly done japokuwa kuna genuine effort lakini planning ni tatizo kubwa.

FELI,
Hapa tuko pamoja.
Mawazo yako ndo tunayahitaji kwa maendeleo ya taifa letu.
 
Back
Top Bottom