Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
Saa 2 za Usiku kwa Masaa ya Afrika ya Mashariki, kutakuwa na hafla ya utoaji wa tuzo ya Mchezaji bora wa FIFA kwa mwaka 2019 pale jijini Milan nchini Italy.
Pia hafla hiyo itaambatana na utoaji wa tuzo ya mchezaji bora kwa wanawake.
Vilevile kutakuwa na tuzo ya goli bora la mwaka, kocha bora wa mwaka pamoja na kikosi bora cha mwaka.
Kwa mchezaji bora wa mwaka 3 bora ni Messi, Ronaldo na Van Dijk ambaye anapigiwa chapuo kubwa ya kuibuka na tuzo hiyo.
Mimi ningepata nafasi, kura yangu ningempa Van Dijk. Wewe kura yako ungempa nani?
Tukutane pale Milan nchini Italy kuanzia saa 2 usiku kwenye king'amuzi cha Dstv.
Pia hafla hiyo itaambatana na utoaji wa tuzo ya mchezaji bora kwa wanawake.
Vilevile kutakuwa na tuzo ya goli bora la mwaka, kocha bora wa mwaka pamoja na kikosi bora cha mwaka.
Kwa mchezaji bora wa mwaka 3 bora ni Messi, Ronaldo na Van Dijk ambaye anapigiwa chapuo kubwa ya kuibuka na tuzo hiyo.
Mimi ningepata nafasi, kura yangu ningempa Van Dijk. Wewe kura yako ungempa nani?
Tukutane pale Milan nchini Italy kuanzia saa 2 usiku kwenye king'amuzi cha Dstv.